VIDEO: NAMNA YANGA WALIVYOMALIZANA NA KAZE
NAMNA Kocha Mkuu wa Yanga Cedric Kaze alivyomalizana na Yanga kwa dili la miaka miwili leo Oktoba 16 akichukua mikoba ya Zlatko Krmpotic Kaze amesaini...
KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI USIPANGE KUKOSA NAKALA YAKO
Usikose nakala yako ya Gazeti la Championi Jumamosi kesho Oktoba 17
SIMBA KAZINI KESHO UWANJA WA AZAM COMPLEX, KIINGILIO BUKU 5
KESHO Oktoba 17 kikosi cha Simba kitashuka uwanjani kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mlandege FC ikiwa ni kwa ajili ya kujiweka sawa na...
JINA LA KELVIN YONDANI LATAJWA YANGA
KOCHA mpya wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze amemtaja aliyekuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani kuwa ni mmoja kati ya wachezaji wenye heshima kubwa kwake...
PACHA YA CHIRWA NA DUBE INA MOTO KWELI
PACHA ya nyota wawili ndani ya Klabu ya Azam FC imeweza kujibu ndani ya uwanja kutokana na kuwa na maelewano makubwa ndani ya uwanja.Mpaka...
SIMBA YAZUNGUMZIA POINTI ZA YANGA
KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, ameweka wazi kwamba licha ya kukosa kucheza na Yanga Oktoba 18, mwaka huu lakini anaamini watazipata pointi...
KAZE ASAINI DILI LA MIAKA MIWILI YANGA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga leo Oktoba 16 umemtambulisha rasmi Kocha Mkuu Cedric Kaze, ambaye amesaini mkataba wa miaka miwili kuwa ndani ya klabu...
RATIBA YA VPL LEO NI JAMHURI, DODOMA
LEO Oktoba 16 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo mchezo mmoja utachezwa kwa timu mbili kusakapointi tatu muhimu. Dodoma Jiji FC itawakaribisha Mbeya City Uwanja...
DYBALA AINGIA ANGA ZA CHELSEA
IMERIPOTIWA kuwa Chelsea ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya Paulo Dybala anayekipiga ndani ya kikosi cha Juventus.Mshambuliaji huyo mwenye miaka 26 raia wa...
KASI YA AZAM FC YAIPA PRESHA SIMBA
USHINDI wa Azam FC jana Oktoba wa mabao 3-0 dhidi ya Mwadui FC umewapa presha mabingwa watetezi Simba kwa kusema kuwa wanakikosi kizui kinachostahili...