RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA LEO OKTOBA 19

0
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo Oktoba 19 kwa timu nne kushuka uwanjani kusaka pointi tatu muhimu ndani ya uwanja.Ratiba ipo namna hii:-JKT Tanzania...

POGBA BADO YUPOYUPO MANCHESTER UNITED

0
 KOCHA Ole Gunnar Solskjaer amekanusha tetesi kuwa staa wake, Paul Pogba yupo njiani kujiunga na Real Madrid, baada ya mchezaji huyo kusema kuwa ana...

YANGA WABEBA IMANI KUBWA KWA KOCHA MPYA

0
 KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amesema kuwa anaamini mbele ya kocha mpya wa timu hiyo, Cedric Kaze, kikosi chao kitafanya vizuri msimu...

TFF YATOA TAMKO KUHUSU NAMNA INAVYOSHUGHULIKIA KESI

0
 SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeonesha kusikitishwa na baadhi ya taarifa zinazosambaa mitandaoni juu ya namna taasisi hiyo inashughulikia kesi zinazowasilishwa kwake na vilabu...

ISHU YA KATWILA KUBWAGA MANYANGA MTIBWA SUGAR IPO HIVI

0
 IMEELEZWA kuwa, Zuber Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amebwagwa manyanga kutokana na timu hiyo kuwa na matokeo ya kusuasua kwa msimu wa 2020/21.Katwila...

HOFU YATANDA DIJK KUKAA NJE MIEZI SABA

0
 BEKI kisiki  ndani ya kikosi cha Liverpool, Virgil Van Dijk, anaweza kukaa nje miezi saba hii ikimaniisha huenda akazikosa mechi zote zilizosalia msimu huu,...

KOCHA YANGA KUANZA KUTESTI MITAMBO NA POLISI TANZANIA

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze kibarua chake cha kwanza ndani ya ardhi ya Bongo ni Novemba 22, Uwanja wa Mkapa itakuwa dhidi ya...

PRINCE DUBE WA AZAM FC AUTIKISA UFALME WA MK 14

0
 PRINCE Dube, nyota wa Klabu ya Azam FC ameonekana kuutikisa ufalme wa Meddie Kagere wa Simba baada ya kuhusika kwenye mabao nane ndani ya...

BIASHARA UNITED MDOGOMDOGO WANAKUJA, MGORE ANA JAMBO LAKE

0
 MABAO manne pekee kipa namba moja wa Biashara United ameyaokota kwenye nyavu zake anaitwa Daniel Mgore.Ni timu moja kati ya sita ambazo wamekutana nazo...

LUIS: JUKUMU LANGU SIO KUTENGENEZA ASISTI PEKEE

0
 BAADA ya kupiga asisti za kutosha, kiungo mshambuliaji wa Simba raia wa Msumbiji, Luis Miquissone amesema kuwa hivi sasa akili na nguvu anazihamishia kwenye...