KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA BURUNDI KITAKACHOWASILI KESHO BONGO KWA AJILI YA MECHI...

0
 KIKOSI cha timu ya Taifa ya Burundi kitakachowasili kesho Bongo kwa ajili ya mchezo wa kirafiki uliopo Kwenye kalenda ya Fifa utakaopigwa Oktoba 11,...

WACHEZAJI SIMBA WAPEWA MAPUMZIKO, WENGINE WAPO KAMBINI

0
 UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa umewapa mapumziko wachezaji wake ambao hawajaitwa timu zao za taifa kwa muda wa siku mbili kabla ya...

AZAM FC WAJA NA MBINU ZA KIBINGWA

0
 KOCHA Mkuu wa Klabu ya Azam FC, Aristica Cioaba, amezikalia kooni Klabu za Simba na Yanga katika vita ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu...

YANGA YAANZA KUIVUTIA KASI SIMBA MDOGOMDOGO

0
 KIKOSI cha Yanga leo Oktoba 6 kimerejea kambini rasmi kwa ajili ya kujiandaa na mechi zake zinazofuata za Ligi Kuu Bara. Baada ya Oktoba 3...

YANGA HESABU ZAO NI KWENYE MAANDALIZI

0
 UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kufanya maandalizi ya kikosi hicho kwa ajili ya mechi zake zijazo ndani ya Ligi...

GLOBAL PUBLISHER WAPEWA TUZO NA VODACOM

0
PICHANI Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakiwa na tuzo na cheti cha heshima cha kutambua mchango wa ushirikiano baina Global Publisher...

KUMEKUCHA BONGO,BAADA YA YANGA KUTIMUA KOCHA MWINGINE APIGWA CHINI

0
 UONGOZI wa Klabu ya Ihefu yenye maskani yake Mbeya, leo Oktoba 6 imetangaza kusitiksha mkataba wa aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Maka Mwalwisi.Taarifa...

KINACHOMPASUA KICHWA SVEN NDANI YA SIMBA NI HIKI

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amekiri kuwa ni kweli amekuwa akitofautiana mara kadhaa na baadhi ya nyota wengi wa kikosi hicho kutokana na...

YANGA WATAJA SABABU ZITAKAZOMPA NAFASI KAZE KUIBUKIA JANGWANI

0
 WAKIWA kwenye mchakato wa kumsaka Kocha Mkuu atakayerithi mikoba ya Zlatko Krmpotic ambaye amefungashiwa virago vyake Oktoba 3 akiwa amebakiza siku 14 kabla ya...

TFF YASAINI MKATABA WA MIAKA MITATU NA SERENGETI PREMIUM LAGER

0
 LEO Oktoba 6 Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) chini ya Rais Wallace Karia, limeingia makubaliano na Bia ya Serengeti Premium Lager na kusaini mkataba wa...