MANCHESTER CITY YAIBAMIZA WOLVES NA KUSEPA NA POINTI TATU
KELVIN De Bruyne nyota wa Manchester City aligungua pazia la ushindi wakati timu yake ikishinda mabao 3-1 mbele ya Wolves kwenye mchezo wa Ligi...
GWAMBINA FC: HATUJAPOTEZA MATUMAINI, TUTAFANYA VIZURI MBELE YA SIMBA
JACOB Masawe, nahodha wa Gwambina FC amesema kuwa kupoteza mchezo wao mbele ya Ruvu Shooting haijawatoa kwenye ramani wataendelea kupambana kwa ajili ya mechi...
AZAM FC YATAKA KUENDELEZA REKODI YAKE
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa hesabu zao kubwa ni kuendeleza rekodi zao ndani ya Ligi Kuu Bara ili kufikia malengo ambayo wamejiwekea.Azam FC...
HIKI NDICHO ANACHOKITAKA KOCHA MKUU WA YANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic amewashusha presha mashabiki wa timu yake akiwaambia mabao yatakuja, kwani kilichomuhimu kwake kwanza ni kuvuna alama tatu muhimu...
WALIOIMALIZA MBEYA CITY JANA LEO WAWEKWA KANDO NDANI YA AZAM FC
KOCHA Msaidizi wa Azam FC Vivier Bahati amesema kuwa wachezaji wake walioanza kikosi cha kwanza jana mbele ya Mbeya City leo walipata muda wa...
SIMBA KUSHUKA UWANJANI KESHO KUMENYANA NA AFRICAN LYON
KIKOSI cha Simba kesho, Septemba 21 kinatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya African Lyon inayoshiriki Ligi daraja la Kwanza kwa ajili ya kuwapa...
GWAMBINA YAYEYUSHA POINTI TATU MBELE YA RUVU SHOOTING
KLABU ya Biashara United leo imekubali kichapo cha bao 1-0 mbele ya Ruvu Shooting kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mabatini,...
KMC YAENDELEZA DOZI, YAISHUSHA AZAM FC NAFASI YA KWANZA
KLABU ya KMC wana Kino Boys leo wamendelea na rekodi yao ya kushinda mechi za Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na ushindi wa...
MCHEZO MZIMA WA SIMBA KUMALIZANA NA BIASHARA UNITED KWA 4G ULIKUWA HIVI
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, jana Septemba 20 waliibuka na ushindi wa mabao 4-0 mbele ya Biashara United kwenye mchezo uliochezwa Uwanja...
HESABU ZA YANGA ZIPO NAMNA HII KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA MTIBWA
LAMINE MORO, beki kisiki wa Yanga, amesema kuwa mpango mkubwa wa timu hiyo ni kuwa na mwendelezo mzuri katika mechi zao zote ndani ya...