KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR LEO DHIDI YA SIMBA UWANJA WA JAMHURI, MOROGORO
KIKOSI cha Mtibwa Sugar kitakachoanza leo dhidi ya Simba Uwanja wa Jamhuri,Morogoro
MBWANA SAMATTA APANIA MAKUBWA EPL
HATIMAYE miamba 20 kunako Ligi Kuu England ‘Premier League’, leo inatarajia kuanza safari ya kuwania ubingwa wa ligi hiyo kwa viwanja mbalimbali kuwaka moto...
GEITA GOLD KUJA NA TAMASHA LA KUTAMBULISHA WACHEZAJI WAKE
UONGOZI wa Geita Gold, unatarajia kuandaa tamasha la kuwatambulisha wachezaji wapya waliosajiliwa katika timu hiyo tayari kuingia kwenye vita ya kupigania kupanda daraja msimu...
MABOSI WA YANGA NDANI YA UZI MPYA
Tazama Injinia akiwa na mshauri mkuu wa Yanga ndani ya uzi mpya
HAPA NDIPO TATIZO LA YANGA LILIPOJIFICHA
KOCHA Mkuu wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amesema kuwa tatizo kubwa la timu yake kwa sasa lipo kwenye safu ya ushambuliaji. Mserbia huyo alikisimamia kikosi...
MOTO WA LIGI KUU ENGLAND UNAWAKA NAMNA HII
LEO, Septemba 12 kivumbi cha Ligi Kuu England kinaanza rasmi kutimua vumbi.Bingwa mtetezi ni Liverpool inayonolewa na Jurgen Klopp ina kazi ya kuanza kusaka...
HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MTIBWA SUGAR
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Mchezo huu unachezwa leo Septemba 12, majira ya saa 10:00 jioni.
SIMBA YAIDAI MABAO 20 MTIBWA SUGAR FC
LEO, Septemba 12, Mtibwa Sugar itaikaribisha Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro kwa kila timu kuingia ndani ya...
SIMBA;MCHEZO WETU DHIDI YA MTIBWA SUGAR SIO MWEPESI
KIKOSI cha mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo Septemba 12 kitakuwa kazini kumenyana na Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara...
JOSE MOURINHO AWAPIGA MKWARA WACHEZAJI WANAOMHOFIA KANE
MENEJA wa Klabu ya Tottenham, Jose Mourinho amewapiga mkwara wachezaji anaowataka kuwapa dili ndani ya timu hiyo kwa kusema kuwa ikiwa wanahofia kushindana na...