FRAGA MAMBO MAGUMU SIMBA, KUIKOSA GWAMBINA FC

0
 GERSON Fraga kiungo mkabaji ndani ya Klabu ya Simba atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa wiki tatu kutokana na majeraha ya mguu wa...

SUAREZ RUKSA KUSEPA BARCELONA, ATLETICO MADRID YATAJWA

0
 LUIS Suarez, mshambuliaji wa Barcelona anatajwa kuingia kwenye anga za Juventus baada ya mabosi wa timu hiyo kukubali kumuacha aondoke ndani ya timu hiyo. Atletico...

KOCHA YANGA ATAJA TATIZO LA WACHEZAJI WAKE LILIPO

0
 KOCHA Mkuu wa Yanga, Mserbia, Zlatko Krmpotić amewapa majukumu mapya washambuliaji wake Michael Sarpong na Yacouba Sagne kwa kuhakikisha wanafunga bao katika kila mchezo...

AZAM FC KAMILI GADO KUMALIZANA NA TANZANIA PRISONS

0
 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons utakaopigwa Septemba 26 Uwanja...

KASI YA NYOTA WAPYA NDANI YA YANGA YAWAPA MATUMAINI GSM

0
 MKURUGENZI wa Uwekezaji wa  GSM, Injinia Hersi Said amesema kuwa matokeo chanya ambayo wanayapata Yanga kwa sasa kwenye mechi zao tatu zilizopita yanawapa matumaini ya...

MUGALU: SIKUTARAJIA KUPEWA PASI NA CHAMA

0
 MSHAMBULIAJI mpya wa Simba, Chris Mugalu amesema kuwa amefurahi kuona anafunga katika mchezo wake wa kwanza wa ligi kuu huku akimsifia Chama kutokana na...

GWAMBINA WATUMIA DAKIKA 90 KUSOMA MBINU ZA SIMBA

0
 JACOB Massawe, nahodha wa Gwambina amesema kuwa walitumia dakika 90, Septemba 20 kuitazama mechi ya wapinzani wao Simba wakiwa kambini jambo linalowapa matumaini ya...

KOCHA COASTAL UNION ASHUSHA PRESHA MASHABIKI

0
 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa mashabiki wasiwe na hofu na kikosi cha Coastal Union kwa kuwa wanafanyia kazi makosa ambayo...

YANGA NA SIMBA ZIMEPOTEZANA BONGO JUMLAJUMLA

0
 SIKU 25 zimebaki kabla ya miamba ya soka nchini Tanzania, Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Zlatko Krmpotic na Simba  inayonolewa na Sven Vandenbroeck kukutana...

ISHU YA NIDHAMU YA MORRISON NDANI YA SIMBA IPO HIVI

0
 MENEJA Mkuu wa Simba, Patrick Rweyemamu amesema kuwa hapati usumbufu wowote kutoka kwa kiungo mshambuliaji wake mpya Mghana, Bernard Morrison. Mghana huyo akiwa anaichezea Yanga...