DIAMOND KUCHANGIA KODI YA PANGO KAYA 500 NCHINI

0
MWANAMUZIKI Nasibu Abdul, 'Diamond Platinumz' amesema kuwa atachangia ‘kodi ya pango’ kwa kaya 500 nchini kwa ajili ya kupunguza makali ya kiuchumi wakati huu ambapo...

TANZIA: KOCHA BONGO AFARIKI

0
 Klabu ya soka ya Afc Arusha imetangaza kifo cha Kocha Msaidizi wa klabu hiyo Luke Juma kilichotokea hapo Jana.Habari iliyotolewa leo kwa vyombo vya...

HATMA YA CIOABA NDANI YA AZAM FC IPO NAMNA HII

0
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amewekewa mkataba mezani ili kubaki ndani ya klabu hiyo.Awali kulikuwa na taarifa kuwa mabosi wa Azam FC...

ISHU YA KUTUA YANGA YAMPA KIGUGUMIZI NYOTA WA MTIBWA SUGAR

0
ABDULHALIM Humud ‘Gaucho’ kiungo anayekipiga ndani ya Mtibwa Sugar amepata kigugumizi ghafla kuzungumzia dili lake la kuwindwa na Yanga iliyo chini ya Kocha Mkuu...

BALAA, KAGERE APEWA MABAO 30 LIGI KUU BARA

0
MSEMAJI wa klabu ya soka ya APR na mchambuzi nguli wa michezo kutoka nchini Rwanda, Clever Kazungu, amesema kuwa ana uhakika kama hali ya...

SERIKALI YATAKA BINGWA APATIKANE KWA MTINDO HUU

0
BAADHI ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameshauri Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF) kuifuta ligi msimu huu na ubingwa...

NGOMA NDO BASI TENA AZAM FC

0
BAADA ya juzi Alhamisi, Azam FC kumuongezea mkataba mshambuliaji wa klabu hiyo, Obrey Chirwa, inaelezwa kuwa timu hiyo haina mpango wa kumuongezea mkataba nyota...

UMTITI AGOMA KUSEPA BARCA

0
SAMUEL Umtiti beki anayekipiga ndani ya Klabu ya Barcelona amesema kuwa hana mpango wa kutimka ndani ya kikosi hicho.Taarifa zinaeleza kuwa kitasa hicho Chenye...

WAMEJIPANGA…KWA SIMBA HII MNACHEZA NYIE..!!

0
HAIELEWEKI Ligi Kuu msimu huu itaendelea lini, lakini straika Mnigeria Raphael Obinna amesema hakuna miujiza yoyote inayoweza kutokea Simba ikakosa ubingwa.Mchezaji huyo tegemeo wa...

LUIZ AWAPA PONGEZI MADAKTARI

0
DAVID Luiz, beki wa kati wa Arsenal anaamini kuwa Kwenye mapambano ya Virusi vya Corona kuna umuhimu wa kuwakumbuka wataalamu wa masuala ya afya.Luiz...