WAKALA – SIMBA WALIKATAA MILIONI 500 ZA SAMATTA

0
WAKALA wa kimataifa wa soka nchini, Ally Saleh amefichua kuwa nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ana nafasi kubwa ya kubaki katika Ligi Kuu...

YANGA YA GSM NI MOTO WA KUOTEA MBALI.. VIFAA VIPYA KUTOKA CONGO NA KENYA...

0
KOCHA wa Yanga, Luc Aymael, amewaambia viongozi kwamba katika vitu ambavyo anataka msimu ujao ni kuona timu hiyo ikicheza mpira wa kasi na pasi...

SIMBA WAJANJA KWELI WAMUWAHI YULE MTUPIAJI ALIYEKUWA ANAWINDWA NA YANGA

0
INAELEZWA kuwa Uongozi wa Simba umeamua kumalizana na mchezaji wao Deo Kanda ambaye alikuwa kwenye hesabu za kutua ndani ya Yanga msimu ujao.Kanda ambaye...

AZAM COMPLEX SASA MAMBO SAFI, YAINGIA ANGA ZA TP MAZEMBE

0
HATIMAYE ukarabati wa Uwanja wa Azam Complex, umekamilika kwa asilimia 100.Uwanja huo ulikuwa unafanyiwa ukarabati ambapo nyasi zote zilifumuliwa na kuanza kuwekwa upya kabisa...

JEMBE ANAAMINI KWAMBA KUTOBOA KWA SAMATTA KUMEFUNGUA NJIA KWA WAZAWA WENGINE KUTAKA KUTOKA NJE

0
KUTOKANA na wachezaji wengi wazawa kupata nafasi ya kucheza nje ya nchi jambo hilo linatoa mwanga kwa wengine kuhitaji kupata nafasi ya kwenda kukipiga...

CORONA YAMFANYA MORIS KUMKUBUKA KOCHA

0
BEKI wa Azam FC, Agrey Moris amesema mazoezi ya kufanya kila mchezaji kivyake si mazuri kuliko yale ya kitimu.Moris amesema kipindi hiki wachezaji wanafanya...

DAVIES ATAJA SABABU YA KUENDELEA KUBAKI BAYERN MUNICH

0
ALPHONSO Davies beki wa kushoto wa Klabu ya Bayern Munich ameongeza kandarasi ya kuitumikia timu hiyo mpaka 2025.Nyota huyo mwenye uwezo wa kucheza pia...

SITA WATUSUA KWENYE SHINDANO LA CHOMOKA NA GARI JIPYA, WAOGELEA MINOTI

0
DROO ya pili ya bahati nasibu ya Jishindie Gari na Championi na Spoti Xtra (maarufu kama promosheni ya Baba Lao ama Chomoka na Gari...

NI NYONI NA YONDANI TU..ISHU NZIMA IPO HIVI..!!

0
SHUGHULI ambayo alikuwa akiipata Mzimbabwe Tafadwa Kutinyu kutoka kwa mabeki Kelvin Yondani wa Yanga na Erasto Nyoni wa Simba ilikuwa ikimfanya kutumia dawa za...

NAHODHA YANGA APANIA KUWA BORA ZAIDI MAISHA YAKIREJEA KAMA ZAMANI

0
PAPY Tshishimbi, kiungo anayekipiga ndani ya Klabu ya Yanga amesema kuwa anaendelea kufanya mazoezi ili kulinda kipaji chake pamoja na kuchukau tahadhari dhidi ya...