Habari za Simba leo

AHMED ALLY AINGILIA KATI ISHU YA DUBE NA AZAM…”ASHTAKIWE HUO NI UZEMBE

0
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa kitendo cha mshambuliaji wa Klabu ya Azam, Prince Dube kutokuwepo kwenye kikosi...
Habari za Simba

UONGOZI WA SIMBA SC WATEGWA NA MGUNDA…SIRI ZA BALUA NA CHASAMBI ZAWEKWA HADHARANI

0
Kaimu Kocha Mkuu wa Simba SC ni kama ameutega Uongozi wa Klabu hiyo, katika kipindi hiki ambacho wanamsaka Kocha Mkuu atakayekabidhiwa kikosi kwa ajili...
SIMBA NA WYDAD KUPAMBANIA SAINI YA KIUNGO HUYU...KOCHA ATHIBITISHA

SIMBA NA WYDAD KUPAMBANIA SAINI YA KIUNGO HUYU…KOCHA ATHIBITISHA

0
Kocha Mkuu wa FC Nouadhibou, Aritz López Garai ameweka wazi kuwa kiungo wa timu hiyo Mohsine Bodda anajiandaa kuondoka ndani ya kikosi hicho mwishoni...
Habari za Simba leo

SHABIKI SIMBA AMJIA JUU MGUNDA…”HANA MAAJABU YOYOTE…YANGA NDIO KIPIMO

0
Shabiki wa Klabu ya Simba, Nabii Meja anasema kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda hana maajabu yoyote ndani ya timu hiyo kwa...
Azam FC

AZAM FC WAKUBALI KUCHEZA CHINI YA KIWANGO…WAKUBALI KIWANGO CHA SIMBA

0
Ofisa Habari na Mawasiliano wa Azam FC, Zakazakazi amesema wamekubali wamecheza chini ya kiwango na kugusia kwamba katika mchezo wa jana Simba SC wamekuwa...
FT:- AZAM FC 2-1 YANGA

SIMBA WALITUMIA MBINU HIZI KUWAMALIZA AZAM…FEISAL AKWEPA MSALA HUU

0
Aina ya mechi ambayo ilikuwa inahitaji nani atatumia nafasi zake? Maana ilikuwa wazi sana, spaces zipo nyingi sana, ni ishu ya nani atakuwa mfanisi...
Habari za Yanga leo

KUMBE HII NDIO SIRI YA MUDATHIR YANGA…KOCHA GAMONDI AFANYA HAYA

0
Kuna siri kubwa nyuma ya mabao anayofunga kiungo wa Yanga, Mudathir Yahya ambayo itawafunza wachezaji wengine kuzingatia baadhi ya mambo wanayoambiwa na makocha. Mwanaspoti limebaini...
HAYA HAPA MAAJABU YA MGUNDA SIMBA...WAKONGWE WAMPIGIA SALUTI

HAYA HAPA MAAJABU YA MGUNDA SIMBA…WAKONGWE WAMPIGIA SALUTI

0
Furaha imerejea Simba. Mabadiliko yaliyofanywa kwenye benchi la ufundi na kumrejesha Juma Mgunda yameanza kulipa. Ametumia mechi nne tu kubadilisha mambo ndani ya klabu na...
Habari za Yanga SC

WAKATI MSIMU UNAISHA NA HAJACHEZA SANA….SKUDU AFUNGUKA HILI KWA YANGA…

0
Kuelekea mechi tano zilizobaki za Ligi Kuu ya NBC, nyota wa kikosi cha Yanga, Skudu Makudubela amesema wao kama wachezaji watazicheza mechi hizo kama...
Habari za Simba leo

MZEE DALALI:- MGUNDA ANA OFA NYINGI ZA KWENDA ULAYA….ANAWEZA KWENDA MAN UNITED…

0
Mjumbe wa Bodi ya Simba, Mzee Hassan Dalali amesema kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, Juma Mgunda ni kocha bora na anafaa...