SIMBA: PENGO LA OKWI BADO LIPO
AISHI Manula, mlind mlango namba moja wa Simba amesema kuwa mchezaji wa zamani wa klabu hiyo, Emmanuel Okwi ni mchezaji bora kuwahi kutokea katika...
AZAM, SIMBA NA YANGA ZAKUTANA KWA MFUMANIA NYAVU NAMBA MOJA LIPULI
PAUL Nonga mtupiaji wa Lipuli ameziweka vitani timu tatu kubwa ambazo zinahitaji saini yake kwa sasa ikiwa ni pamoja na Azam FC, Yanga na...
BABY J AJA NA MKWARA MZITO KWA ATAKAYEMROGA
MWANAMUZIKI maarufu wa visiwani Zanzibar, Jamila Abdallah ‘Baby J’ amesema kuwa zamani watu wengi walikuwa wakipenda kucheza na mwili wake lakini sasa hivi yuko imara...
WALICHOMFANYA KIUNGO WA SIMBA LUIS MATAPELI ACHA KABISA
LUIS Miquissone nyota wa Simba amejikuta kwenye wakati mgumu kufuatia baadhi ya watu ‘matapeli’ kutumia jina lake katika mitandao ya kijamii kuomba pesa kwa...
THOMAS PARTEY KUIBUKIA ARSENAL MSIMU UJAO
THOMAS Teye Partey, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Atletico Madrid inayoshiriki La Liga inaripotiwa kuwa msimu ujao atajiunga na Klabu ya Arsenal inayoshiriki...
HASHEEM IBWE AWAOMBA WATANZANIA WAENDELEE KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
HASHEEM Ibwe, mwandishi wa Habari za Michezo kutoka kituo cha Azam TV amesema kuwa kwa kipindi hiki ni muhimu kila mmoja kuchukua tahadhari kujilinda...
MTUPIAJI WA LIPULI HIKI NDICHO ANACHOKIFANYA KWA SASA
DARUESH Saliboko, nyota anayekipiga ndani ya Lipuli yenye maskani yake mkoani Iringa amesema kuwa kwa sasa anaendelea kufanya mazoezi binafsi ili kulinda kipaji chake...
BREAKING:ISHU YA CHAMA YATINGA TFF
KUTOKANA na Uongozi wa Yanga kudai kwamba umefanya mazungumzo na Clatous Chama, Simba wamekimbilia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)
ALLIANCE NI KIBOKO, YACHIMBISHA JUMLAJUMLA MAKOCHA WANNE
KLABU ya Alliance School yenye maskani yake mkoani Mwanza msimu huu wa Ligi Kuu Bara imeweka rekodi ya kuwachimbisha makocha wanne kazi mazima.Ikiwa kwa...