KIONGOZI SIMBA ALIPATA TABU SANA NA BAO LA MORRISON ALILITAZAMA KWENYE WHATSAPP
OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amefunguka kuwa bao ambalo walifungwa na Yanga kwenye mechi ya Dabi ya Kariakoo Machi 8, aliliangalia kwenye Makundi...
GSM NA YANGA SASA WAJA NA STAILI MPYA YA USAJILI
WADHAMINI wa Yanga, Kampuni ya GSM wamerejea kivingine klabuni hapo na safari hii wamekuja na staili mpya ya usajili kwa wachezaji wa kimataifa ambayo...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumamosi
KIKOSI CHA SIMBA KILICHOPINDUA MEZA KIBABE KIMATAIFA
Hiki hapa Kikosi Cha Simba kilichopindua meza kibabe kimataifa
MABOSI WA YANGA WAMALIZA UTATA KUHUSU MORRISON
WANAFAMILIA wa Yanga ambao ni mabosi pia, Kampuni ya GSM imesema kuwa suala lao na Bernard Morrison walishalimaliza hivyo hawana mashaka na nyota huyo...
KOCHA LIGI KUU AHOFIA WACHEZAJI KUSHUKA VIWANGO LIGI IKIREJEA
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa iwapo wachezaji watashindwa kuendelea kufanya mazoezi wakati huu wa mapumziko kupisha Virusi vya Corona endapo...
SIMBA YAPANIA KUMCHOMOA BEKI MMOJA POLISI TANZANIA
IMEELEZWA kuwa uongozi wa Simba upo kwenye hesabu za kuinasa saini ya beki mpambanaji ndani ya Polisi Tanzania, Idd Mobby.Mobby ambaye ni nahodha pia...
KAZI IMEANZA, AZAM FC SASA KUSHUSHA MASHINE ZA KAZI NNE
UONGOZI wa Azam FC umeamua kuweka wazi dhamira yao ya kutaka kushindana na klabu kongwe katika Ligi Kuu Bara, Simba na Yanga katika masuala...
ISHU YA BILIONI 20 YA MO YAMUIBUA MWENYEKITI ATOA NENO HILI
ALIYEWAHI kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Swedy Mkwabi ameitaka Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo kushughulikia masuala yote ya muhimu ikiwemo kuhakikisha Sh....