KIUNGO HUYU MTIBWA SUGAR YUPO TAYARI KUIBUKIA YANGA

0
KIUNGO wa Mtibwa Sugar, Abdulhalim Humoud, ameweka bayana kuwa anajisikia furaha kusikia kuwa anahusishwa na kujiunga na Yanga kutokana na ukubwa wa timu hiyo...

YANGA:NDEMLA AONDOKE SIMBA KUTAFUTA CHANGAMOTO MPYA

0
HARUNA Niyonzima, Kiungo mshambuliaji wa Yanga amemshauri kiungo wa Simba Said Ndemla kutafuta changamoto mpya ili apate nafasi ya kucheza.Ndemla kwa sasa ndani ya...

MAPROO WAWILI SIMBA KUKUTANA NA BALAA ZITO, KAGERE NDANI

0
BALAA kubwa huenda likawakumba baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba kutokana na kudaiwa kukiuka taratibu za klabu hiyo.Wachezaji hao ni Mnyarwanda, Meddie Kagere,...

MKUDE; WENGI WANASEMA JUU YANGU,SIWEZI KUWAZUIA

0
JONAS Mkude, kiungo mkabaji ndani ya klabu ya Simba amesema kuwa watu wengi wanaomsema vibaya hawezi kuwazuia kwa kuwa wameamua kumwandama bila kujua kinachomsumbua.Mkude...

HAWA HAPA NI MWENDO WA SABASABA NDANI YA LIGI KUU BARA

0
LIGI Kuu Bara kwa sasa imesimama kutokana na kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Wachezaji wanaendelea kujifua kulingana na programu ambazo wamepewa na makocha wao...

GALLAS BADO ANAKOMAA KUJIWEKA FITI

0
WILLIAM Lucian ‘Gallas’, beki wa Polisi Tanzania, amesema kuwa anatumia muda mkubwa kufanya mazoezi ili kuwa fiti endapo Ligi Kuu Bara itarejea.Kwa sasa ligi...

KUMEKUCHA SIMBA, MABEKI WAWILI PANGA LINAWAHUSU

0
MABEKI wawili ndani ya Simba inaelezwa kuwa nafasi yao ya kubaki ndani ya kikosi hicho kwa msimu ujao wa 2020/21 ni ndogo kutokana na...

MANCHESTER UNITED YAKUBALI YAISHE KWA POGBA

0
MANCHESTER United inayotumia Uwanja wake wa Old Trafford imemuweka sokoni kiungo wao Paul Pogba na kukubali yaishe juu yake kwani alikuwa anahitaji kusepa tangu...

HIKI HAPA KINACHOMBEBA PAUL NONGA WA LIPULI

0
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli amesema kuwa anaweza kikubwa kilicho nyuma ya mafanikio yake ni kuamini uwezo wake na kujituma.Nonga ndani ya Ligi Kuu...