BIASHARA UNITED WANA HESABU KALI KWELI

0
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United anaamini kuwa timu yake ina nafasi ya kufanya vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na mipango...

MZUNGU YANGA AUTEMA UBINGWA WA LIGI KUU BARA JUMLAJUMLA AWAPA SIMBA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna mpango wa kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara kutokana na kuachwa kwa pointi nyingi na mpinzani...

HAWA HAPA WAMESEPA NA TUZO ZA LIGI KUU BARA 2019/20, WAZUNGU WOTE WA SIMBA...

0
HAWA wametwaa tuzo za Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 ambapo kwa upande wa Arstica Cioaba amekuwa Kocha Mkuu aliyetwaa tuzo hiyo mara mbili.Kwa...

SABABU YA MBEYA CITY KUWA NAFASI YA 17 HII HAPA

0
MBEYA City iliyo nafasi ya 17 kwenye msimamo na pointi zake 30 kibindoni ipo chini ya Kocha Mkuu Amri Said.Timu hiyo imetupia jumla ya...

MBELGIJI WA YANGA AOMBA MUDA KUKIJENGA KIKOSI KIWE BORA ZAIDI

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaamini akipewa muda atakijenga kikosi cha Yanga na kuwa bora zaidi ya sasa.Kocha huyo amekiongoza kikosi...

MANCHESTER UNITED WAINGIA KWENYE VITA NA BARCELONA,PSG KUISAKA SAINI YA AUBA

0
 MANCHESTER United imeweka mezani pauni milioni 50 ili kuinasa saini ya nyota wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang.Imeelezwa kuwa Auba amekuwa kwenye hesabu ya timu kubwa...

DITRAM NCHIMBI: NINAFANYA MAZOEZI KULINDA KIWANGO CHANGU

0
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa licha ya kuwa kwenye mapumziko bado anaendelea kufanya mazoezi ili kuwinda kiwango chake.Nyota huyo mwenye mabao sita...

WINGA CHELSEA AIKUMBUKA FAMILIA YAKE

0
NYOTA wa timu ya Chelsea, Willian Borges da Silva raia wa Brazil amewaomba mabosi wake wampe ruhusa ya kusepa ndani ya London ili kuifuata...

BALAA LA KAKOLANYA LIPO NAMNA HII UWANJANI

0
SIMBA ikiwa imecheza mechi 28 kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara mlinda mlango wake namba mbili Beno Kakolanya amedaka mechi saba.Kwenye mechi hizo...

NAMUNGO: TUTAREJEA KWENYE UBORA WA AWALI

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa  muda wa mapumziko kwa sasa utawarejesha kwenye morali wachezaji wake.Ligi Kuu Bara imesimamishwa kwa muda wa...