SHEVA APEWA MAZOEZI MAALUMU, AWAOMBA MASHABIKI WAMUOMBEE

0
MIRAJ Athuman ‘Sheva’ anatarajiwa kuanza mazoezi ya kunyonga baiskeli kwa ajili ya kujiweka sawa kabla ya kurudi rasmi uwanjani akitokea kwenye majeraha. Sheva ameweka wazi...

KUMBE KOCHA WA YANGA ALITAKA KUJA BONGO MIAKA MINNE ILIYOPITA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael,amesema kuwa alikuwa ana mpango wa kuja Bongo miaka minne iliyopita lakini mambo hayakuwa kama alivyotarajia akabaki Afrika Kusini. Kwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa

BAADA YA KUPATA CORONA, FA NA MENEJA WA DIAMOND WAWAONDOA WASIWASI WATANZANIA

0
HAMIS Mwinjuma maarufu kama Mwana FA amesema kuwa licha ya kugundulika na Virisu vya Corona bado yupo fiti asilimia mia.FA  amethibitisha kuwa amekutwa na...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa

MANCHESTER UNITED YAINGIA ANGA ZA BARCELONA, WAITAKA SAINI YA BEKI WA KATI UMTITI

0
SAMUEL Umtiti, beki wa kati wa Barcelona yupo kwenye hesabu za kusajiliwa na klabu ya Manchester United.Nyota huyo anatarajiwa kusajiliwa ndani ya United kwenye...

KINACHOIMALIZA MBAO FC NDANI YA LIGI CHAWEKWA BAYANA

0
UONGOZI wa Mbao FC umesema kuwa kinachoikwamisha timu hiyo kuwa na matokeo mazuri ni ukata unaoimaliza timu hiyo yenye maskani yake Mwanza.Mbao FC imecheza...

BEKI WA JUVENTUS RUGANI: SIKUWA NA DALILI ZA CORONA

0
DANIELE Rugani, beki wa Juventus amesema kuwa hakuwa na dalili zozote za Virusi vya Corona licha ya vipimo kuonyesha kuwa ana Virusi hivyo.Beki huyo...

MTIBWA SUGAR YAACHANA NA ISHU YA GHARAMA WALIZOTUMIA TANGA

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa umeachana na suala la kufikiria gharama walizotumia kujiaandaa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Coastal Union na...

SABABU YA AZAM FC KUWA NAFASI YA PILI NA SIO YA KWANZA IPO HIVI

0
MTENDAJI Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin Amesema kuwa marekebisho ya Uwanja wao wa Azam Complex yamechangia kwa kiasi chake kuiweka timu hiyo nafasi...