MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SpotiXtra, Alhamisi, nafasi ya kushinda ndinga mpya upo mkononi mwako

KOCHA:KAGERE ATAWAFUNGA SANA KWA MWENDO HUU

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa kwa kasi wanayokwenda nayo Simba ndani ya Ligi Kuu Bara ni nafasi ya mshambuliaji wao...

KMC YAMALIZA HASIRA ZA SIMBA KWA KUTEMMBEZA KICHAPO DAKIKA 360, YANGA NAO WAONJA JOTO...

0
BAADA ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-0 mbele ya Simba kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru, Machi Mosi, KMC imemaliza hasira zake kuwa kushinda...

YANGA YAPAGAWA NA POINTI MOJA ILIYOAMBULIA NDANI YA DAKIKA 180

3
BEKI wa Kulia wa Yanga amesema kuwa kitendo cha timu yake kuruhusu mabao kwenye mechi zao mbili ni hatari kwa afya ya timu yao...

SIMBA YAIPOTEZEA YANGA LIGI YA MABINGWA JUMLAJUMLA

0
BEKI wa Simba, Pascal Wawa, amefunguka kuwa kwa sasa wapinzani wao wakiwemo Yanga wanatakiwa kusahau juu ya kushiriki katika michuano ya Ligi ya Mabingwa...

BRUNO APIGA MKWARA MZITO KWAMBA MOTO WAKE BADO SANA

0
KIUNGO wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema kuwa moto wake ndani ya klabu hiyo hautazima lazima afanye maajabu makubwa.Nyota huyo ametwaa tuzo tatu ikiwa...

KAMBI YA TIMU YA JKT TANZANIA YAVUNJWA RASMI LEO

0
UONGOZI wa Klabu ya JKT Tanzania, leo Machi 18,2020 rasmi umevunja kambi yake kutokana na maelekezo yaliyotolewa jana na Serikali kupitia kwa Waziri Mkuu...

YANGA: TULIWABANA MBAVU NAMUNGO, WASHUKURU MWAMUZI

0
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwassa amesema kuwa Namungo FC washukuru bahati haikuwa yao kwani waliwabana mbavu na kushinda bao la halali ambalo lilikataliwa...

SASA LIGI KUU BARA KUCHEZWA BILA MASHABIKI UWANJANI

0
KIKAO cha Kamati ya Uongozi cha TFF kimeazimia kuwa, baada ya siku 30 Serikali itakaporuhusu michezo kuendelea, mechi za Ligi Kuu Bara, Ligi Daraja...

CHAN NA AFCON KUPANGIWA TAREHE, KAMBI YA STARS YAVUNJWA

0
MASHINDANO ya CHAN ambayo yanawashirikisha wachezaji wa ligi za ndani pamoja na yale ya Afcon yatapagiwa tarehe kulingana na hali itakavyokuwa ya ugonjwa wa...