MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA BETIKA, NAKALA YAKE NI BURE, LIPO MTAANI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la BETIKA, nakala yake ni bure kabisa lipo mtaani

DILI LA DRINKWATER NDANI YA ASTON VILLA MIKONONI MWA MABOSI

0
DANNY Drinkwater ambaye alijiunga kwa mkopo ndani ya Klabu ya Aston Villa kwa sasa anasubiri hatma yake kujua kama ataendelea kubaki ndani ya kikosi...

POGBA KUBAKI NDANI YA MANCHESTER UNITED KISA UBORA WA NYOTA WA KIKOSI HICHO

0
PAUL Pogba, kiungo wa Manchester United kwa sasa imeelezwa kuwa anafikiria kubaki ndani ya kikosi hicho kwa ajili ya mafanikio yake ya hapo baadaye.Pogba...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele Gazeti la CHAMPIONI JUMATANO, nafasi ya kushinda ndinga ni kubwa ukinunua gazeti hili

KILE KICHAPO CHA BAO 1-0 WALICHOPOKEA SIMBA KUTOKA KWA YANGA CHAIBUA HAYA

0
CLATOUS Chama, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa ameumia kwa timu yake kuchapwa bao 1-0 mbele ya Yanga kwenye mchezo wao uliochezwa Machi 8...

YANGA KWENYE KIBARUA KINGINE KESHO TAIFA

0
YANGA kesho inatarajiwa kushuka Uwanja wa Taifa kumenyana na KMC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Yanga itaingia uwanjani ikiwa na kumbukukumbu ya kulazimishwa sare...

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA SINGIDA UNITED

0
SIMBA leo itakuwa na kazi ya kumenyana na Singida United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Uhuru majira ya saa 10:00...

MVUA YATIBUA MIPANGO YA POLISI TANZANIA V MTIBWA SUGAR

0
 MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Polisi Tanzania na Mtibwa Sugar uliokuwa leo majira ya saa 10:00 umeahirishwa hadi kesho saa 3:00 asubuhi.Mchezo...

AZAM FC WALIPA KISASI CHA KUPAPASWA NA RUVU SHOOTING LEO

0
.NEVER Tigere nyota wa Azam FC leo amewanyanyua mashabiki wa Azam FC kwa kulipa kisasi cha kufungwa bao 1-0 mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja...

ALIYEMCHEZEA RAFU FEI TOTO ARUDI KWA MASHABIKI KUOMBA MSAMAHA

0
KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amesema kuwa anawaomba radhi mashabiki kwa kitendo chake cha kumchezea mchezo usio wa kiungwana kiungo wa timu ya Yanga,...