PACHA HIZI ZINASUBIRIWA KWA HAMU LEO KUJIBU TAIFA

0
LEO uwanja wa Taifa, mashabiki wa Yanga watakuwa uwanjani huku wakiwa wamebeba matumaini makubwa kwa nyota wao ambao wanazidi kupambana wakiwa ndani ya uwanja.Yanga...

YANGA YATUMA UJUMBE MZITO KWA SIMBA

0
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao wasifikirie kupata njia ya kutokea kwenye mechi yao ya watani itakayochezwa Machi,8 Uwanja wa...

MZUNGU WA YANGA AWABADILISHIA MBINU WAPINZANI WAKE ADAI WACHEZAJI WAKE WAMECHOKA

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanachoka kwa kucheza mechi nyingi mfululizo jambo ambalo analifanya ni kuwapumzisha baadhi ya wachezaji...

DE BRUYNE WA MANCHESTER CITY HATIHATI KUKOSA MANCHESTER UNITED

0
PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City ametoa tamko ambalo linaonyesha dalili kuwa kuna uwezekano mdogo wa nyota wake Kevin De Bruyne kuanza mechi...

FLOYD MYWEAATHER ATAKA KUMFUNDISHA NGUMI WILDER AKAMNYOOSHE FURY

0
BONDIA mstaafu wa ngumi, Floyd Myweather amesema kuwa Deontay Wilder anaweza kumpiga Tyson Fury katika pambano lao la marudiano iwapo atakubali kufundishwa naye kuelekea...

HESABU ZA SIMBA KWA YANGA ZIPO NAMNA HII KESHO

0
PASCAL Wawa beki wa Simba amesema kuwa wanapiga hesabu kubwa kuona namna gani watashinda mchezo wao mbele ya Yanga utakaochezwa Machi 8,2020, kesho Jumapili...

MTIBWA SUGAR: TUNAZITAKA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR

0
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utambana mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Gairo, Morogoro.Akizungumza na...

HAPA NDIPO YANGA ILIPOIPOTEZA SIMBA JUMLAJUMLA

0
KWENYE misimu 11 ya hivi karibuni ambapo Yanga na Simba wamekutana Yanga inashikilia rekodi ya kupindua meza kibabe. mechi 23 walizokutana Yanga imeshinda mechi sita,...

KOCHA : KUIZUIA SIMBA KWA SASA KAZI IPO

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa inahitaji umakini mkubwa kwa Yanga kuizuia Simba kutwaa ubingwa kutokana na kasi waliyonayo kwa sasa.Thiery...

YANGA: HATUNA HOFU, TUPO TAYARI KUICHAPA SIMBA

0
UONGOZI wa Yanga, umesema kuwa upo tayari kwa mchezo wao wa kesho, Machi 8 dhidi ya Simba utakaochezwa Uwanja wa Taifa kutokana na mipango...