KMC YAWATAKA MASHABIKI KUCHUKUA TAHADHARI YA VIRUSI VYA CORONA

0
UONGOZI wa KMC umesema kuwa ni muhimu kwa kila mmoja kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona ili kuwa salama.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari...

KOCHA SIMBA ATAJA SABABU YA KUTOELEWANA NA BENCHI LAKE LA UFUNDI

0
SVEN Vandernbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema haikuwa rahisi kufanya kazi na benchi la ufundi kutokana na kutozeana.Sven alipoanza kazi ililipotiwa kuwa hakuwa na...

YANGA YAPIGA HESABU ZA KIMATAIFA KUBORESHA KIKOSI CHAO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unahitaji kusuka kikosi upya kitakacholeta ushindani kitaifa na kimataifa kwa kushusha nyota wengi wakali na wenye ujuzi.Akizungumza na Saleh...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA JUMAPILI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Jumapili

KUNA UMUHIMU WA KUWAPA THAMANI WACHEZAJI WETU ILI KUWA BORA, MWAMNYETO NI WAKATI WAKE

0
KILA mtu anajukumu la kuongeza thamani ya maisha yake, ukiwa ni mtu wa kwenda kulala kwenye gesti za elfu saba, kila mtu ataona thamani...

SENZO AFUNGUKA ATAKAVYOWARUDISHA BONGO KAGERE, CHAMA NA SHIBOUB

0
WAKATI mipaka ya nchi zao ikifungwa, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Senzo Mazingisa amepanga kuandaa utaratibu wa tofauti watakaoutumia ili kuhakikisha nyota wao...

UNAAMBIWA GSM BABA LAOO..WARUDI YANGA KWA SPIDI 360..!!

0
WADHAMINI wa Yanga, Kampuni ya GSM wamerejea kivingine klabuni hapo na safari hii wamekuja na staili mpya ya usajili kwa wachezaji wa kimataifa ambayo...

MANARA – UWEZO WETU NI KUSAJILI MCHEZAJI WA MILIONI 230 TU..!!

0
MSEMAJI Mkuu wa Simba, Haji Manara amebainisha kwamba ni ngumu kwa klabu hiyo na nyingine za Tanzania kutwaa ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Afrika...

NIYONZIMA,TSHISHIMBI NA MARRISON WAWEKWA MTEGONI YANGA..!!

0
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa amewawekea mtego mastaa wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa ukweli wa nani alikuwa anafuata kwa usahihi program za...

PAMOJA NA KIWANGO KIKUBWA..STARS YABAKI PALEPALE FIFA

0
TIMU ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imeendelea kubaki nafasi ya 134 kwenye viwango vya ubora vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) vya mwezi...