KESI YA POLISI, RUVU SHOOTING NI HADITHI INAYOONYESHA UTOTO

0
Na SALEH ALLYLAZIMA utakuwa umesikia mzozo ulioibuka kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Ruvu Shooting kila upande ukitupa lawama kwa mwingine kwamba ulikuwa chanzo...

MSIMU UKIISHA, TUWAELEZE YANGA UKWELI KUHUSIANA NA WANAOWAFANYIA USAJILI…

0
Na Saleh AllyMWANADAMU huwa ni lazima akosee na unapopunguza idadiya makosa hadi kuwa machache sana, utapewa jina moja, mtu makini.Kujikita na kuhakikisha makosa katika jambo...

YANGA: TUNAPITIA KIPINDI KIGUMU KWA SASA

0
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa wanatambua wanapitia kipindi kigumu cha matokeo ila hilo haliwafanyi wakate tamaa kutafuta ushindi uwanjani.Yanga imecheza mechi...

SIMBA:MASHABIKI WANATUPA NGUVU YA KUPAMBANA UWANJANI

0
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa wanawashukuru mashabiki kwa sapoti yao kwani inawapa nguvu ya kupata matokeo kwenye mechi wanazocheza ndani ya Ligi...

MUDA WA KUJIPANGA KWA TIMU ZILIZOBORONGA MZUNGUKO WA KWANZA BADO UPO KIKUBWA KUJITUMA

0
UKIUTAZAMA msimamo wa Ligi Kuu Bara, timu nyingi zimecheza mechi 24, huku chache zikicheza 23 katika kuelekea kuumaliza msimu huu wa 2019/20 ulioanza Agosti,...

YANGA YATAJA MBINU ZITAKAZOWAPA UBINGWA WA LIGI KUU BARA

0
KESHO Yanga itakuwa na kazi ya kusaka ponti tatu mbele ya Mbao FC mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Taifa majira ya saa1:00 usiku.Kocha Mkuu...

SHIME AWAPA TANO WACHEZAJI KUICHAPA UGANDA, MASHABIKI WAHUSIKA

0
KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17 amesema kuwa siri kubwa ya ushindi ni sapoti ya mashabiki kujitokeza...

AZAM FC KUANZA KULISHUGHULIKIA TATIZO HILI MAPEMA NDANI YA TIMU YAO

0
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa wana kazi kubwa ya kufanyia marekebisho safu ya ushambuliaji ambayo imekuwa na shida kwenye umaliziaji.Akizungumza...

NAHODHA NAMUNGO ATAJA KINACHOMPA HALI YA KUJIAMINI AKIWA UWANJANI

0
NAHODHA wa timu ya Namungo, Relliats Lusajo amesema kuwa anatumia muda mwingi kujifunza kwa wachezaji wa kigeni na ndani jambo linalompa hali ya kujiamini.Akizungumza...

KUMEKUCHA HUKO JANGWANI, FUNGU LA KUTOSHA LAWEKWA MEZANI KUIMALIZA SIMBA

0
 KUELEKEA mchezo wa watani wa jadi, Yanga na Simba unaotarajiwa kuchezwa, Machi 8, Uwanja wa Taifa tayari mkwanja umewekwa mezani ili Yanga imalize mchezo...