MTIBWA SUGAR YAKIRI MAMBO SI SHWARI, YAOMBA SAPOTI YA MASHABIKI
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umewaomba mashabiki kuendelea kuipa sapoti timu hiyo licha ya kupitia kipindi cha mpito kwa sasa.Februari, Mtibwa imecheza mechi saba haijafunga...
ZINEDINE ZIDANE AMPA TANO GUARDIOLA ASEMA HANA HOFU JUU YA KUKUTANA NAYE KWA KUWA...
ZINEDINE Zidane, Kocha Mkuu wa Real Madrid amesema kuwa, Pep Guardiola ni miongoni mwa makocha bora anaowaheshimu kutokana na kazi zao wanazozifanya.Real Mdardi na...
NAMUNGO YACHEKELEA KUTINGA HATUA YA ROBO FAINALI SHIRIKISHO
NAMUNGO FC jana imetinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine Mbeya.Hitimana...
KAULI ZA JERRY MURRO AKIZUNGUMZA TENA KLABUNI YANGA
Mkuu waWilaya ya Arumeru, Jerry Murro, leo amerejea klabuni Yanga na kuzungumza mambo kadhaa akiwapa wanachama matumaini kuwa yeye na wengine ambao hauwataja, wamerejea.Baadhi...
KIKOSI CHA SIMBA LEO DHIDI YA STAND UNITED
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Stand United mchezo wa Kombe la Shirikisho Uwanja wa Kambarage
VIDEO: YANGA WAMRUDISHA JERRY MURO, ATOA ‘PASSWORD’ KWA MASHABIKI
UONGOZI wa Klabu ya Yanga, leo Februari 25, 2020 umezungumza na wanahabari baada ya timu hiyo kutoka sare katika michezo yake minne ambayo imewafadhaisha...
KWENYE NNE BORA BONGO YANGA INA REKODI YAKE HII HAPA, SIMBA PIA IMO
YANGA imeweka rekodi ya kipekee ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kuwa timu iliyofunga mabao machache kati ya timu zilizo nafasi ya nne kwenye...
SIMBA YAMYOOSHEA MIKONO LUIS
NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa kasi ya kiungo mshambuliaji wao, Luis Miquissone haipaswi kupuuzwa kwani anaonyesha vitu vya kipekee ndani ya timu...
SIMBA:TUPO TAYARI KUPAMBANA NA STAND UNITED LEO
PASCAL Wawa, beki kisiki wa Simba amesema kuwa leo watapambana mbele ya Stand United kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho utakaochezwa Uwanja wa Kambarage...
YANGA YATAMBA KUPATA DAWA YA SARE, KAZI KUANZA KESHO TAIFA
JERRY Muro, aliyekuwa Ofisa Habari wa Yanga wa zamani na sasa ni mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani Arusha amesema kuwa wameshapata pasword ya...