MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatatu
AUBAMEYANG AWASABABISHIA BALAA HILI NEWCASTEL IKIKUBALI KULALA NA 4G
PIERRE-Emerick Aubameyang nahodha wa Arsenal alifungua pazia la kutupia mbele ya Newcastel United kwenye mchezo wa Ligi Kuu England wakati wakiibuka na ushindi wa...
AZAM FC BADO WAMO, LICHA YA KUCHAPWA NJE NDANI NA COASTAL UNION
KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa bado wanapambana kwa ajili ya mechi zinazofuata kwenye ligi ili kuongeza kasi yao baada ya...
YANGA YAIVUTIA KASI POLISI TANZANIA
BAADA ya kulazimisha sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons jana, Februari 15 Uwanja wa Taifa Yanga imeiwahi Polisi Tanzania ya Moshi kwa ajili...
SIMBA YAIWAHI KAGERA SUGAR KAMBINI FASTA
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wamerejea kutoka Iringa ambako walikuwa na mchezo wa ligi na Lipuli, Jana Samora.Simba ilishinda mchezo...
SPURS SIO WATU WAZURI, WAIBAMIZA ASTON VILLA YA SAMATTA USIKU KWELI
ASTON Villa imekubali kichapo cha mabao 3-2 mbele ya Tottenham, kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa leo kwa kufungwa bao la usiku katika...
YANGA YAMVAA BOSI MPYA BODI YA LIGI
UONGOZI wa Yanga, umemtaka Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi (TPLB), Almas Kasongo kuanza kuiweka sawa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo wanadai...
SAMATTA KUMTIBULIA MOURINHO LEO
Leo Jumapili, mshambuliaji wa Aston Villa, Mbwana Samatta, anatarajiwa kusimama mbele kuwaongoza wenzake kumtibulia Kocha Jose Mourinho na timu yake ya Tottenham Hotspur.Aston Villa...
YANGA YAANIKA MIPANGO ITAKAYOTUMIA KUIMALIZA SIMBA MACHI 8
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa, mechi nne zijazo ambazo ni sawa na dakika 360, watazitumia kwa ajili ya maandalizi ya kuiangamiza...