WAWA AJA NA WAZO TOFAUTI KABISA JUU YA SIMBA KUTWA UBINGWA MSIMU HUU
LICHA ya kwamba Simba inaongoza ligi hivi sasa, lakini beki kisiki wa timu hiyo, Pascal Wawa, amesema ishu ya kuanza kuwaza ubingwa bado sana...
KUMBE CONTE ALIKUWA ANAITAKA SAINI YA LUKAKU KITAMBO KWELI
ANTONIO Conte, Kocha Mkuu wa timu ya Inter Milan inayoshiriki Seria A ya Italia amesema kuwa alikuwa anaitaka saini ya mshambuliaji wake Rumelu Lukaku...
BOCCO BALAA LAKE JANA LILIKUWA KWA MTINDO HUU
JOHN Bocco, nahodha wa Simba jana amekiongoza kikosi chake kuibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara...
HIVI NDIVYO YANGA ILIVYOBANWA MBAVU NA WAJELAJELA JANA TAIFA
KIKOSI cha Yanga jana kimebanwa mbavu kwenye Uwanja wa Taifa mbele ya wajelajela Tanzania Prisons kutoka Mbeya kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara kwa...
MBINU ALIZOPEWA SAMATTA ILI KUMKERA MOURINHO
WAKATI mshambuliaji wa Aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta kesho akitarajiwa kucheza dhidi ya Tottenham Hotspur inayofundishwa na Kocha Jose Mourinho, staa huyo amepewa mbinu...
MGHANA MPYA ASHUSHWA YANGA, SPOTI XTRA LEO JUMAPILI HILI HAPA
Muonekano wa gazeti la Spoti Xtra katika ukurasa wa mbele leo Jumapili.
YANGA WATAKA STRAIKA WAO AONDOLEWE – VIDEO
Mashabiki wa klabu ya Yanga walivyofunguka kuhusiana na mchezaji wao, Yikpe wakilaumu kuwa ni mzigo.
MKENYA AREJESHWA KIKOSINI YANGA
Kipa namba moja wa Yanga, Farouk Shikalo amerudishwa kikosi cha kwanza jana Jumamosi dhidiya Prisons baada ya kukalishwa benchi kwenye michezo sita ya Ligi...