MBELGIJI WA SIMBA ATAJA KINACHOWAWEKA BENCHI AJIBU, MLIPILI,NDEMLA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kama nyota wake wanaokosa namba kikosi cha kwanza wanataka kuanza lazima wapambane mazoezini kuwa bora.Kauli hiyo...
CORONA YATIBUA MIPANGO YA KOCHA WA SIMBA
PATRICK Aussems, aliyekuwà Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kusambaa kwa Virusi vya Corona kumetibua mipango yake ya kutua Afrika Kusini kusaini dili lake...
HAWA JAMAA MAJUU WANAKIMBIZA KWA PASI ZA MWISHO
HAWA jamaa ni wakali wa kupiga pasi za mwisho kwenye timu zao wanazozipiga kwenye ligi kubwa tano Ulaya:- Angel Di Maria anayekipiga PSG inayoshiriki Ligue...
SINGIDA UNITED INA FURUSHI LA MABAO
SINGIDA United ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 imekuwa na beki nyanya kwa kuruhusu kufungwa mabao mengi.Ikiwa imecheza mechi 29 za Ligi...
YANGA YAMALIZANA NA NAHODHA WAO MAPEMA
IMEELEZWA kuwa nahodha wa Yanga, Papy Tshishimbi ameongeza kandarasi ya miaka miwili kuendelea kukipiga ndani ya klabu hiyo.Kulikuwa na sarakasi za mkataba wa nyota...
HIKI HAPA ANACHOKIFANYA ABDI BANDA KULINDA KIPAJI CHAKE
ABDI Banda, nyota wa Tanzania anayekipiga Klabu ya Highlands Park inayoshiriki Ligi Kuu nchini Afrika Kusini amesema kuwa kwa sasa anaendelea kupiga matizi ili...
CORONA YASIMAMISHA TAJI LA TISA LA JUVENTUS IWAPO WANGELITWAA
KWENYE Serie A wakati ligi hiyo ikiwa imesimamishwa kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona, vinara walikuwa ni Juventus.Hivyo Virusi vya Corona vimesimamisha taji la...
AUBAMEYANG INAONYESHA HANA MPANGO WA KUBAKI ARSENAL
PIERRE-Emerick Aubameyang, nahodha wa kikosi cha Arsenal kilicho chini ya Kocha MKuu, Mikel Arteta inaonyesha kuwa hana nia ya kubaki ndani ya kikosi hicho...
GALAS ATAJA KITAKACHOWAUMIZA WACHEZAJI LIGI KUU BARA ITAKAPOREJEA
WILLIAM Luccian,'Gallas' amesema kuwa kitakachowaumiza wachezaji wengi ni kuanza kutafuta upya nguvu ya kurejea kwenye ubora wao kwenye ligi mpaka pale watakapocheza mechi tatu...
MABOSI ORLANDO PIRATES HAWANA HIYANA NA SHONGA KUTUA SIMBA, MASHARTI YAO YAPO HIVI
SIMBA wana nafasi kubwa ya kumpata mshambuliaji huyo anayekipiga ndani ya Klabu ya Orlando Pirates Justin Shonga iwapo wataweka pesa ya kutosha kutokana na...