KINACHOIBEBA AZAM FC HIKI HAPA NDANI YA LIGI KUU BARA
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kikubwa kinachowapa ushindi ni wachezaji kujituma ndani ya uwanja na ushirikiano wao.Azam FC jana ilishinda...
HIVI NDIVYO YANGA ILIPOKUBALI KULAZIMISHA SARE YA KUFUNGANA BAO 1-1 NA MBEYA CITY
BERNARD Morrison, mshambuliaji wa Yanga, jana ameonyesha ushujaa wake mbele ya Mbeya City kwa kufunga bao kwenye sare ya kufungana bao 1-1 mchezo wa...
DILUNGA AWAOMBA RADHI MABOSI WAKE WA ZAMANI MTIBWA BAADA YA KUWATUNGUA
HASSAN Dilunga, kiungo wa Simba ambaye alijiunga na Simba akitokea Mtibwa Sugar amesema kuwa anaomba radhi kwa mashabiki wake kwa kuwafunga moja bao kwenye...
MTIBWA SUGAR YAELEZA KILICHOWAPONZA MBELE YA SIMBA
ZUBERI Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kilichoiponza timu yake kupoteza kwa kufungwa mabao 3-0 mbele ya Simba ni kushindwa kuwazuia wapinzani...
AMBULACE YAZUA KIZAAZAA LIGI KUU BARA
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya Ruvu Shooting na Tanzania Prisons ambao ulipaswa uchezwe jana, Februari 11,2020 Uwanja wa Mabatini uliahirishwa na unasubiria...
MZUNGU WA SIMBA AFICHUA SIRI YA MABAO 3-0, WACHEZAJI WATAJWA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kilichoibeba Simba jana, Februari 11, mbele ya Mtibwa Sugar ni kujituma kwa wachezaji wake.Simba jana ilishinda...
NAHODHA WA MBWANA SAMATTA BADO ANAMPASUA KICHWA SOLSJKAJER
OLE Gunnar Solskajer, Kocha Mkuu wa Manchester United inaripotiwa kuwa yupo siriazi kuipata saini ya nyota wa Aston Villa, Jack Grealish ili kuongeza makali...
GAZETI LA BETIKA LIPO MTAANI LEO, JIPATIKE NAKALA YAKO BURE KABISA
GAZETI la BETIKA ni bure lipo mtaani, jipatie nakala yako
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
SONSO APEWA MAAGIZO
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, ameamua kumtoa katika nafasi ya ulinzi wa pembeni beki wake, Ally Mtoni ‘Sonso’ kisha kumpa majukumu ya kuwa...