SIMBA AAMUA KUFANYA KUFURU YA PESA, HAKAMATIKI KABISA
KAMA ulikuwa unawaza kuna mtu kwenye tasnia ya Bongo Fleva wa kushindana naye mpaka sasa, unajiongopea! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz...
YANGA KUIPELEKA BODI YA LIGI FIFA
Uongozi wa Yanga umesema hawakubaliani na adhabu walizopewa na Bodi ya Ligi kwa wachezaji wao pamoja na klabu hiyo kwa ujumla tayari wameandika barua...
KOBE APEWA TUZO YA HESHIMA
Wakati dunia ikiwa bado katika simanzi nzito ya kuondokewa na nguli kwenye mchezo wa Basketball Kobe Bryant, waandaaji wa Tuzo za Oscar wametoa taarifa...
TAARIFA NYINGINE YA SERIKALI JUU YA MVUA KUBWA
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kaskazini na Kanda ya Kati kukumbwa...
MAMBO YAZIDI KUWA MOTO, KABWILI AHITAJIKA KAMATI MAALUM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeiagiza Kamati ya Maadili kufuatilia ukweli kuhusu tuhuma za upangaji wa matokeo zilizotolewa na kipa wa Yanga, Ramadhani Kabwili.Akizungumza...
SUALA LA IST YA KABWILI, KOCHA YANGA ATAJWA
Klabu ya Yanga imesema itamwita mchezaji wake, Ramadhani Kabwili kueleza kwa kina juu ya tuhuma za rushwa alizozitoa dhidi ya Simba hivi karibuni.Hayo yamesema...
SIMBA YAIGEUKA BODI YA LIGI
MBELGIJI Sven Vanderboeck ambaye ni kocha mkuu wa Simba, amelalamika kuwa wanatakiwa kujiandaa kwelikweli kutokana na ratiba yao kuwabana kwa sasa ambapo katika siku...
KAGERE AMALIZA SHUGHULI TAIFA, AACHA KILIO KWA NAMUNGO KWA BAO LAKE LA USIKU
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba leo amewanyanyua mashabiki wa timu yake kwa kufunga bao la ushindi lililoipa timu yake pointi tatu mbele ya Namungo...
VPL: SIMBA 0-0 NAMUNGO
Dakika ya 15 Namungo wanapiga kona ya kwanza Dakika ya 14 Kapombe anakosa nafasiDakika ya 13 Ajibu anapiga kona haizai matundaDakika ya 11 Namungo wanaoteaDakika...