MASHABIKI WAOMBWA KUIPA SAPOTI LIPULI, LIGI NI MOTO

0
PAUL Nonga nahodha wa Lipuli amesema kuwa ligi ya msimu huu wa 2019/20 ni ngumu jambo linalowafanya wapambane wakiwa ndani ya uwanja kupata matokeo.Lipuli...

NYOTA WA KMC AFICHUA KILICHO NYUMA YA MAFANIKIO YA KUTEMBEZA MABAO 5-0 MBELE YA...

0
CHARLSE Ilanfya, mshambuliaji wa KMC amesema kuwa anamshukuru Mungu kwa kurejea Uwanjani kutokana na kusmbuliwa na majeraha kwa muda mrefu,Ilanfya alijiunga na KMC kwenye...

MBELGIJI WA YANGA AWAPA KAZI NYINGINE WACHEZAJI WAKE

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa washambuliaji wake wote wana kazi moja tu uwanjani kufunga na kutengeneza nafasi za mabao ili kuongeza...

MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED WANA JAMBO LAO FEBRUARI MOSI

0
MASHABIKI wa timu ya Manchester United inayoshiriki Ligi Kuu England wamepanga kutumia dakika 58 kufanya matembezi kwa pamoja nje ya Uwanja wa Old Trafford...

SIMBA YATAJA SABABU YA KUIFUNGA MWADUI FC LEO

0
HAJI Manara Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa sababu kubwa ya Simba kushinda mchezo huo ni kuongeza nguvu kwenye mradi wao wa kuingiza mashabiki...

MUUAJI WA SIMBA APANIA KUWAUMBUA TENA LEO UHURU

0
MSHAMBULIAJI wa Mwadui FC, Gerald Mdamu amesema kuwa akipata nafasi leo ya kuanza dhidi ya Simba atapambana kuipa ushindi timu yake ili isonge hatua...

AZAM FC BANA, WAIVUTIA KASI FRIENDS RANGERS

0
MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho, Azam FC, Jana wameanza mazoezi ya kuivutia kasi timu ya Friends Rangers kuelekea kwenye mchezo wao wa hatua...

LISTI KAMILI YA WACHEZAJI WA YANGA NA MAJINA YA VIONGOZI WAO HAYA HAPA

0
Farouk ShikaloAlly MtoniKelvin YondaniFei TotoMapinduzi BalamaMohammed BankaPatrick SibomanaJuma AbdulRamadhan KabwiliAli AliMrisho NgassaAbdulaziz MakameJafari MohammedPapy TshishimbiLamine MoroPaul GodfreyDeus KasekeVincent AndrewMetacha MnataDitram NchimbiTariq SeifYikpe GnamienAdeyum Saleh...

SIMBA WASHTUKIWA DILI NA YANGA, HAYA NDIYO MAAMUZI WALIYOFANYA NI NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumamosi

BAKARI SHIME AAHIDI FURAHA KILIMANJARO QUEENS

0
KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya soka ya wasichana wa U17, Kilimanjaro Queens, Bakari Shime amesema kuwa watawafunga Burundi kwa mabao mengi katika...