RIO AKIWASHA, AIPONDA MAN UNITED

0
MASHABIKI wa Manchester United, juzi waliondoka karibia wote uwanjani wakati wa mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Burnley.Wakiwa kwenye Dimba la Old Trafford,...

HARMONIZE MATATANI TENA, DIAMOND ATAJWA

0
AMKENIII! Wimbo wake wa Hainistui umemtia matatani tena msanii maarufu Bongo, Rajabu Abdul Kahali a.k.a Harmonize au Harmo.  Dishi la Risasi Mchanganyiko limenasa skendo...

KOCHA SIMBA AAHIDI MSIBA KWA MWADUI, KAZI IPO LEO

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vanderboeck ametamba kwamba atawashushia kipigo wapinzani wake Mwadui FC ambao anacheza nao leo Jumamosi kwa kuwa tayari ameshalijua...

KOCHA YANGA AIBUKA NA AHADI TAMU

0
KOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Ubelgiji, Luc Eymael, amesema kuwa kutokana na jinsi kikosi hicho kinavyofanikiwa kupata nafasi nyingi za kufunga mabao, ana...

WAWILI WAONDOKA YANGA

0
WACHEZAJI wa Yanga mshambuliaji mpya Ditram Nchimbi na kiungo fundi Feisal Salum ‘Fei Toto’ wiki iliyopita waliondolewa usiku kwenye kambi ya timu hiyo wakakwea...

BAADA YA KELELE KUZIDI DHIDI YAKE, MOLINGA AAMUA KUTOA TAMKO LA KIBABE

0
Mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga, David Molinga, amesema kuwa kazi ndiyo kwanza imeanza Yanga, hivyo mashabiki wa timu hiyo wasiwe na hofu mambo mazuri...

KICHUYA KUANZA KAZI RASMI LEO

0
KIKOSI cha Simba, leo Jumamosi kitashuka uwanjani kupambana na Mwadui FC katika mchezo wa Kombe la FA utakaochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar...

MTANGAZAJI NGULI NCHINI AMUONDOA SAMATTA KIKOSINI ASTON VILLA – VIDEO

0
Usajili wa Samatta bado ni gumzo Tanzania na hata nje ya mipaka ya Bara la Afrika kwani amevunja mwiko kwa Watanzania kutocheza Ligi Kuu...

VURUGU MECHI LA KMC NA LIPULI LIMEFIKIA HAPA, SABABU YA KUSAJILIWA YATAJWA

0
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya timu ya KMC, ambaye pia ni Meya wa Wilaya ya Kinondoni, Samweli Sitta amesema kuwa walimuajiri Haruna...

AZAM TV WAIBUKA KIVINGINE NA APP YA KISASA ZAIDI YA MAX

0
Uongozi wa Azam Media jana Ijumaa umefanya uzinduzi wa application ‘App’ mpya inayojulikana kama Azam Tv Max, ambayo inatakuwa maalumu kwa ajili ya wateja...