MSIMAMO WA AZAM FC HUU HAPA NDANI YA LIGI KUU

0
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa timu bado haijakata tamaa itaendelea kupambana ili kufikia malengo yake.Akizungumza na Saleh Jembe, Cheche amesema:"Mchezo...

PAMOJA NA KUMCHAKAZA WILDER KWA TKO, FURRY ALIKUWA AMEONGOZA RAUNDI ZOTE SABA KWA POINTI

0
Tyson Fury amentwanga Deontay Wilder kwa TKO katika raundi ya saba baada ya kocha wa bondia huyo Mmarekani kulazimika kutupa taulo ulingoni.Pamoja na kumchapa...

LEO BALAA MECHI KAMA ZOTE, UNITED, PSG UWANJANI, BONGO PIA YANGA, ALLLIANCE KAZINI, RATIBA...

0
LEO kwa mashabiki wa soka watakuwa na muda wa kucheki Ligi mbalimbali Duniani ambazo zinaendelea ambapo kwa upande wa Ligi Kuu Bara mambo yatakuwa...

KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA COASTAL UNION, MKWAKWANI TANGA

0
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhdi ya Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani, Tanga

COASTAL UNION V YANGA WAPIGANA MKWARA HUU

0
JUMA Abdul, beki wa Yanga na nahodha msaidizi wa kikosi hicho amesema kuwa kesho watapambana mbele ya Coastal Union ili kupata ushindi mbele ya...

JONAS MKUDE HATA WEWE PIA UMO, WACHEZAJI NI MUHIMU KUTUMIA AKILI HAYA MABAVU HAYAFAI

0
JONAS Mkude, kiungo ndani ya Simba ameonyesha kitendo ambacho kimeniacha nikitafakari uimara wake na yale anayoyafanya ndani ya Uwanja kwa sasa.Licha ya kwamba ubora...

TIMU YA SAMATTA YAAMBULIA KICHAPO TENA

0
ASTON Villa timu anayocheza nyota mtanzania, Mbwana Samatta jana imekubali kichapo cha mabao 2-0 mbele ya Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliochezwa...

YANGA:TUNAZITAKA POINTI TATU ZA COASTAL UNION

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa leo watapambana mbele ya Coastal Union kupata pointi tatu muhimu kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu...

HIVI HAPA VIGONGO VYA MOTO KWA SIMBA KABLA YA KUKUTANA NA YANGA

0
SIMBA ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara, Februari 25 wana kazi ya kumenyana na Stand United kwenye Uwanja wa CCM Kambarage.ndani ya mwezi...

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA

0
MSIMAMO wa Ligi Kuu Bara Huu hapa baada ya mechi kuchezwa jana, leo pia ligi inaendelea