SIMBA YATAJA KILICHOWAPONZA KUSHINDWA KUTWAA MAPINDUZI, WAJA NA OMBI HILI

0
JOHN Bocco, nahodha wa timu ya Simba amesema kuwa haikuwa bahati yao kushinda kombe la Mapinduzi mbele ya Mtibwa Sugar.Simba ilitinga hatua ya fainali...

KAGERA SUGAR: TUTAPAMBANA KESHO KUPATA POINTI TATU ZA YANGA

0
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa watapambana kesho mbele ya Yanga uwanja wa Uhuru kupata matokeo mazuri.Kagera Sugar itakutana na Yanga...

MTIBWA SUGAR: TUNAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

0
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa watapambana kesho mbele ya Yanga kupata matokeo mazuri.Kagera Sugar itakutana na Yanga ikiwa na kumbukumbu...

SITA WAPIGWA CHINI JUMLA NDANI YA KMC

0
IMEELEZWA kuwa Uongozi wa timu ya KMC umefikia makubaliano ya kusitisha mikataba na wachezaji watano ndani ya kikosi hicho.Wachezaji hao ni Aaron Lulambo, George...

MRITHI WA MAYANJA NDANI YA KMC HUYU HAPA, AANZA KAZI

0
 HARUNA Harerimana ameingia mkataba na KMC kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo kwa kandarasi ya mwaka mmoja na miezi nane. Harerimana anachukua nafasi ya kocha...

POLISI TANZANIA YAMDAKA KIPA WA SIMBA, YAMPA MWAKA MMOJA

0
MANYIKA Peter Manyika ambaye ni mlinda mlango amekamilisha dili lake la kujiunga na Polisi Tanzania kwenye usajili wa dirisha dogo unaotarajiwa kufungwa kesho, Januari...

MO ATOA TAMKO LINGINE JIPYA NDANI YA SIMBA BAADA YA KUPOTEZA KOMBE LA MAPINDUZI

0
BAADA ya jana kupitia ukurasa wake wa kijamii kuandika kwamba anaondoka kwenye nafasi ya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Simba kutokana na timu hiyo...

BENO KAKOLANYA KATUZIDI NAMNA YA KUFIKIRI KUHUSU MANULA

0
NA SALEH ALLYNILIMSIKIA kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya akihojiwa na runinga ya Azam TV kuhusiana na namna alivyofanya vizuri na kuisaidia Simba...

VALVERDE ACHIMBISHWA MAZIMA NDANI YA BARCELONA, SETIEN KUBEBA MIKOBA YAKE

0
BARCELONA imefika hatua ya makubaliano ya kuachana na Ernesto Valverde aliyekuwa Kocha Mkuu wa tImu hiyo kutokana na kutoridhishwa na mwenendo wake ndani ya...

AZAM FC YAMALIZANA NA MAJEMBE MAWILI FASTA, MMOJA NI MFUMANIA NYAVU KIMATAIFA

0
NEVER Tigere,kiungo aliyekuwa akikipiga ndan ya FC Platinum ya Zimbabwe amesaini kadnarasi ya mwaka mmoja.Tigere ni pendekezo la benchi la ufundi la Azam FC,...