KUMEKUCHA, SIMBA KUPOKEA UGENI LEO KUTOKA UJERUMANI UTAKAOWACHEKI WAKIMENYANA NA YANGA

0
JOTO la mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga na Simba limeanza kupanda ambapo kwa sasa timu ya Simba leo inatarajia kuwa na...

YANGA KUMALIZANA NA ALLIANCE KESHO TAIFA

0
YANGA kesho wataikaribisha timu ya Alliance FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwaja wa Taifa.Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kuanzia majira ya saa...

NDINGA MPYA KABISA KWA MIA NANE TU AMA JERO, NI RAHISI FANYA HIVI

0
BAHATI nasibu ya Jishindie Gari Mpya iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra, imezinduliwa rasmi...

DAVID DE GEA KUPIGWA CHINI NDANI YA MANCHESTER UNITED

0
DAVID De Gea mlinda mlango wa Manchester United huenda akauzwa ili kuiongezea timu yake mkwanja wa kufanyia usajili msimu huu.De Gea mwenye miaka 29...

TAIFA STARS KAZINI MACHI 27, WAANGOLA NDIO MAPILATO

0
MACHI 27, timu ya Taifa ya Tanzania itakuwa na kibarua cha kumenyana na timu ya Taifa ya Tunisia utakaochezwa Uwanja wa Stade Olympique de...

MSIMAMO WA LIGI YA WANAWAKE TANZANIA

0
MSIMAMO wa Ligi ya Wanawake Tanzania baada ya kucheza mechi 10 upo namna hii

SIMBA: HAKUNA MUDA WA KUPUMZIKA, KAZI JUU YA KAZI

0
GADIEL Michael, beki wa Simba amesema kuwa kwa sasa mapambano lazima yaendelee kwani hakuna muda wa kupumzika kwenye maisha ya soka.Michael alipewa nafasi ya...

YANGA: GWAMBINA WANARUDI MWANZA KUCHEZA NGOMA

0
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa kutinga kwao hatua ya robo fainali mbele ya Gwambina kunawapa muda wapinzani wao kurejea Mwanza kuendelea...

AUBAMEYANG AKOSA FURAHA KISA KUKOSA KUTINGA HATUA YA 16 BORA EUROPA

0
PIERRE -Emerick Aubameyang amesema kuwa amekosa furaha kwa timu yake kushindwa kupenya hatua ya 16 bora ya Ligi ya Europa kwa kufungwa mabao 2-1...