KAGERA SUGAR KUPOTEZEA MAUMIVU YA SIMBA KWA WABAYA WA SIMBA
YUSUPH Mhilu, mshambuliaji namba moja ndani ya Kagera Sugar amesema kuwa wapo tayari kusepa na pointi tatu mbele ya JKT Tanzania mchezo wa Ligi...
RUVU SHOOTING YAIPIGA MKWARA POLISI TANZANIA, YATAMBA ISHU YA KUPAPASA INAENDELEA
RUVU Shooting iliyo nafasi ya 10 na pointi zake 32 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara leo itakaribishwa na Polisi Tanzania Uwanja wa...
MTIBWA SUGAR YAJIPA MATUMAINI KUTUSUA MBELE YA MBEYA CITY LEO
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa baada ya kupata sare ya bila kufungana na Tanzania Prisons leo ana imani ya kupata...
SIKU MUHIMU KWA MESSI HII HAPA
LIONEL Messi, mshambuliaji wa Barcelona amesema kuwa siku ya Alhamisi kwake hupenda kukaa na familia ili kuyajenga masuala mengi yanayowahusu.Messi kwenye La Liga ametupia...
DIDIER DROGBA APIGWA CHINI NDANI YA CAF,ETOO NDANI
DIDIER Drogba imeelezwa kuwa amefutwa kazi yake ya ushauri wake ndani Shirikisho la soka barani Afrika CAF, katika nafasi ya kumshauri Rais wa shirikisho...
HIZI HAPA DAKIKA 270 ZA MOTO KWA SIMBA KABLA YA KUINGIA MIKONONI MWA YANGA
MCHEZO wa kwanza uliochezwa, Januari 4,2020 Uwanja wa Taifa Simba ililazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 na kuwafanya wagawane pointi mojamoja.Zitakutana tena Machi 8,2020...
YANGA YAPEPERUSHA POINTI SITA KATI 18 ILIZOKUWA IKISAKA, SARE TATU MFULULIZO
YANGA kwenye mechi zake sita hivi karibuni ambazo ni sawa na dakika 540 kwenye Ligi kuu Bara imeshinda mechi tatu na kulazimisha sare tatu.Ndani...
MOURINHO ABEBA MATUMAINI LIGI YA MABINGWA LICHA YA KICHAPO
JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Spurs amesema kuwa bado wana nafasi ya kusonga mbele kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya kupoteza...
SIMBA:TUPO TAYARI KUMALIZANA NA BIASHARA UNITED
UONGOZI wa Simba umesema kuwa maadalizi yao ya mchezo wa kesho dhidi ya Biashara United yapo sawa ni suala la wakati tu kutimiza malengo...
MZUNGU WA YANGA ATOA TAMKO HILI
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake watapambana kupata matokeo kwenye mechi zake zinazofuata kutokana na kugundua makosa waliyoyafanya.Yanga ipo nafasi...