JESHI LA TIMU YA TAIFA YA WANAWAKE DHIDI YA BURUNDI UWANJA WA TAIFA

0
Kikosi cha Timu ya Taifa ya Wanawake U17 kinachoanza kwenye mchezo dhidi ya Burundi.

HIKI NDICHO KINACHOITESA KAGERA SUGAR KWA SASA NDANI YA LIGI

0
KOCHA Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa matokeo wanayoyapata kwenye ligi yanatokana na ushindani kuwa mkubwa wanajipanga kwa sasa kurejea kwenye ubora...

MOGELLA, MFAUME, MAYAY WASHIRIKI UZINDUZI DUKA JIPYA LA MICHEZO LA ANTA

0
NA MWANDISHI WETUWAKONGWE wa soka nchini, Zamoyoni Mogella na Ally Mayay, Mwisho mwa wiki walizindua rasmi duka la kimataifa la vifaa vya michezo la...

MOURINHO: NADHANI WASIMAMIZI WA VAR WALIKUWA WANAKUNYWA CHAI WAKASAHAU MAJUKUMU YAO

0
JOSE Mourinho, Kocha Mkuu wa Tottenham amesema kuwa hakuona msaada wa VAR kwenye mchezo wao dhidi ya Liverpool kwani kuna kadi nyekundu ya moja...

MBELGIJI WA YANGA AANZA NA MAJINA YA NYOTA HAWA WANNE NDANI YA YANGA, AZUNGUMZIA...

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu mpya wa Yanga ambaye yupo Bongo kwa sasa akikamilisha taratibu za awali ameyataka majina ya wachezaji wanne wa Yanga ili...

SINGIDA UNITED YACHEKELEA POINTI TATU, YAWATAJA WAKONGWE KUHUSIKA

0
UONGOZI wa Singida United umesema kuwa uwepo wa wakongwe ndani ya timu hiyo umeanza kuwapa matokeo ya kile ambacho walikuwa wamekikosa kwa muda mrefu.Singida...

LIVE: SHEREHE ZA MAADHIMISHO, MIAKA 56 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

0
Leo Januari 12, 2020 wananchi wa Zanzibar wanaadhimisha miaka 56 ya mapinduzi. Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea mwaka 1964 ili kumuondoa madarakani Sultani wa Zanzibar...

MASHABIKI TUJITOKEZE KWA WINGI LEO UWANJA WA TAIFA KUIPA SAPOTI KILIMANJARO QUEENS

0
LEO Jumapili, Kilimanjaro Queens watakuwa na kibarua cha kupambana na timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 ya Burundi. Timu hizo zitapambana katika...

KUNA JAMBO LA MUHIMU KWA YANGA KWA SASA WANATAKIWA KULIFANYA MBELE YA GSM, WAKICHEMKA...

0
KUNA matawi mengi maarufu ya Klabu ya Simba, lakini lipo taji moja lina umaarufu mkubwa na maana kubwa sana kwa mpira wa kisasa. Tawi...

BAADA YA KUITUNGUA YANGA, MTIBWA SUGAR YAIPIGA MKWARA MZITO SIMBA

0
KESHO, Visiwani Zanzibar, Uwanja wa Amaan, kutakuwa na mchezo wa kukata na shoka kati a Mtibwa Sugar na Simba ambao utakuwa ni wa fainali...