MASAU BWIRE HANA DOGO AWAPIGA MKWARA HUU POLISI TANZANIA
OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa wamejipanga kuacha alama nzuri kwa Polisi Tanzania itakayowafanya waikumbuke timu yao msimu mzima kwa kuchukua...
MZUNGU WA YANGA KUKUTANA NA KIGINGI HIKI NDANI YA LIGI KUU BARA
KOCHA wa Yanga, Luc Eymael anakibarua kizito cha kumenyana na Coastal Union, Februari 23 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Mkwakwani.Eymael...
BAADA YA KUIBANA YANGA, POLISI TANZANIA YATAJA KINACHOWABEBA
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania aliyetoka kuwabana Yanga kwa kugawana pointi mojamoja Uwanja wa Ushirika amesema kuwa uwezo wa vijana wake uwanjani...
COASTAL UNION YAWAOMBA RADHI MASHABIKI, HUYU HAPA CHANZO CHA KUPOTEZA MBELE YA RUVU SHOOTING
SUDY Dondola, mlinda mlango namba moja wa Coastal Union amesema kuwa kupoteza pointi tatu mbele ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Mkwakwani chanzo alikuwa yeye...
MTIBWA SUGAR WAIBUKIA HUKU BAADA YA POINTI MOJA
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kilichoifanya timu yake kushindwa kupata matokeo mbele ya Tanzania Prisons ni ubovu wa Uwanja wa...
AZAM FC: MAPAMBANO BADO YANAENDELEA, AKILI ZETU SASA NAMUNGO
AGREY Morris, nahodha wa Azam FC amesema kuwa kushindwa kupata ushindi mbele ya Ndanda sio mwisho wa mapambano kwani bado wana mechi mkononi.Azam FC...
MADUDU YA LIGI DARAJA LA KWANZA YASIFUMBIWE MACHO, MFUMO WA PLAYOFF UBORESHWE
LIGI daraja la Kwanza inazidi kumeguka taratibu na ushindani wake unazidi kushika kasi kila iitwapo leo kwa timu shiriki kuonyesha kile wanachokihitaji.Tunaona kwamba kila...
WALE WENYE TABIA ZA WAWA NA MORRISON TUWAKEMEE KWENYE LIGI ZOTE, HATUA ZICHUKULIWE
JANUARI 4,2020 mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Taifa kwa wapinzani wa jadi Yanga na Simba mzunguko wa kwanza uliacha matukio mengi tata ambayo...
MOURINHO AKIMBILIA KIVULI CHA MAJERUHI KISA KICHAPO CHA BAO 1-0
BAO la Timo Werner wa RB Leipzig kwa mkwaju wa penalti dakika ya 58 mbele ya Tottenham Hotspurs lilitosha kuilaza na kiporo hicho timu...
LIGI DARAJA LA KWANZA TUSIIFUMBIE MACHO KWANI HUKU MAMBO BADO
MECHI saba kwa sasa ndizo ambazo zimebaki kwa timu zinazoshiriki Ligi Daraja la Kwanza kumaliza ile ngwe ya kumtafuta mbabe wao atakayepanda Daraja na...