NONDO 11 ZA AZAM FC HIZI HAPA ZITAKAZOANZA LEO DHIDI YA SIMBA, MAPINDUZI CUP

0
KIKOSI rasmi cha Azam FC, kinachotarajia kucheza dhidi ya Simba kwenye mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi utakaofanyika Uwanja wa Amaan, Zanzibar...

JESHI KA SIMBA LEO DHIDI YA AZAM FC, KAKOLANYA NDANI, MANULA BENCHI

0
Kikosi cha leo dhidi ya Azam FC kwenye mchezo wa nusu fainali ya Mapinduzi Cup leo Januari 10

KILICHO NYUMA YA MAFANIKIO YA SIMBA CHAFICHULIWA NA MSHAMBULIAJI WAO NAMBA MOJA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji namba moja wa Simba amesema kuwa kikubwa kinachowapa mafanikio ni ushirikiano ndani ya timu jambo linalowafanya wapate matokeo mazuri.Kwenye Ligi Kuu...

AZAM FC: SIMBA WETU KABISA TUMEWACHAPA SANA, LEO TUTAPAMBANA

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa hauna mashaka na mchezo wa leo dhidi ya Simba kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi...

POLISI TANZANIA YAWAITA MASHABIKI UWANJA WA USHIRIKA, BUKU TATU TU KUPATA BURUDANI KESHO

0
UONGOZI wa Polisi Tanzania umewataka mashabiki wake kujitokeza kwa wingi, kesho Januari, 11,2020 kuipa sapoti timu yao mbele ya Kagera Sugar kwenye mchezo wa...

KASI YA NYOTA MPYA WA SIMBA YAMKOSHA MBELGIJI WA SIMBA, ALICHOKIFANYA DAKIKA 12 NI...

0
DAKIKA 12 za kiungo mpya wa Simba, Luis Miqoissone  akitokea benchi kuchukua nafasi ya Hassan Dilunga  zimemkosha Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vanderbroeck ambaye alibaki...

JEMBE JIPYA LA AZAM FC KUIKOSA SIMBA LEO MAPINDUZI CUP

0
KHLEFFIN Hamdoun, jembe jipya ndani ya Azam FC aliyesajiliwa kwa kadarasi ya miaka minne leo ataikosa mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi...

ISHU YA YANGA KUIKIMBIA SIMBA KIJANJA MAPINDUZI CUP IPO HIVI

0
KUTOKANA na mashabiki wa Yanga kukasirika kitendo cha Yanga kupoteza mchezo wao wa nusu fainali kwenye Kombe la Mapinduzi dhidi ya Mtibwa Sugar huku...

NAHODHA SIMBA: TUNAWATAMBUA AZAM FC TUTAWAPA TAABU LEO

0
NAHODHA wa Simba, John Bocco amesema kuwa hana mashaka na mchezo wa leo mbele ya Azam FC utakaochezwa Uwanja wa Amaan.Simba itamenyana na Azam...

NAHODHA WA BARCELONA AWA MKALI KINOMA, AKASIRISHWA NA ZAWADI YA KICHAPO MBELE YA ATLETICO...

0
Kichapo cha mabao 3-2 walichokipata Barcelona jana dhidi ya Atletico Madrid kimemkasirisha nahodha wa kikosi hicho, Lionel Messi.Kwenye mchezo huo wa nusu fainali ya...