MTOTO WA TAMBWE AIKATAA TIMU YA KARIAKOO

0
AMISSI Tambwe ni mmoja kati ya washambuliaji wenye rekodi na historia kubwa katika Ligi Kuu Bara kwa kipindi cha miaka sita aliyocheza ligi hiyo...

YANGA HII LAZIMA UKAE, YAIONESHA JEURI SIMBA, MABILIONI HAYA YAINGIZWA

0
Uongozi mpya wa Klabu ya Yanga ulioingia madarakani chini ya mwenyekiti wake, Mshindo Msolla na makamu wake, Frederick Mwakaleba umefanikiwa kukusanya shilingi 3,935,000,000 ndani...

NI SALAAAM, FALCAO AWEKA REKODI MWANZA YANGA IKIENDA SARE YA 1-1 NA PAMBA

0
Mechi ya kirafiki baina ya Yanga na Pamba SC imemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya mabao 1-1.Mechi hiyo kwa Yanga imekuwa ni sehemu...

GOFU LUGALO WAPANIA UBINGWA NMB CDF CUP 2019

0
MICHUANO ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (NMB CDF Cup 2019), imeanza rasmi jana na inatarajiwa kufungwa leo kwenye Viwanja vya...

LIVE: PAMBA SC 0-0 YANGA SC, MECHI YA KIRAFIKI

0
Dak ya 3, Kabwili ameanza leo, anawaanzishia wenzake kuanzisha mashambulizi upya, ni baada ya kuwa golikiki.Dak ya 1, Pamba wamefanya shambulizi la hatari langoni...

JESHI LA YANGA HILI HAPA LEO DHIDI YA PAMBA FC

0
LEO Pamba inawakaribisha  Yanga mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara wakiwa wametwaa ubingwa huo mara 27. Jeshi la Yanga litakaloanza leo hili hapa...

KERR AFIWA NA MAMA YAKE MZAZI

0
Kocha wa zamani wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amefikwa na mama yake mzazi.Kerr ameeleza kuwa mama yake alikuwa akiumwa kwa muda mrefu na ndicho...

MWANARIADHA AJUNGA NA KLABU YA SOKA

0
Bingwa mara mbili wa mbio za mita 800 kwenye michezo ya Olimpiki, Caster Semenya (28) ameanza kujiandaa kwa maisha mapya nje ya riadha baada...

MAGORI AACHIA NGAZI RASMI SIMBA, CEO MPYA KUTOKA AFRIKA KUSINI ATANGAZWA

1
Ifisa Mtendaji mpya Simba, Senzo Mazingisa, ametambulishwa leo jijini Dar es Salaam na Crescentius Magori anayemaliza muda wake.Baada ya utambulisho huo, Magori amesema Mazingisa...
Habari za Michezo

SAMATTA AITAKA BARCELONA

0
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amefichua kuwa alitamani kuona timu yake inapangwa na klabu ya Barcelona au Real Madrid katika michuano ya...