MOLINGA APEWA ZIGO HILI NDANI YA YANGA

0
DAVID Molinga, ‘Falcao’ amepewa mzigo mzito wa kufunga mabao mengi ndani ya Yanga na kujifunza kukaa kwenye nafasi akiwa ndani ya Uwanja.Molinga ni kinara...

TWIGA STARS KAZINI TENA KESHO, WAMETEMBEZA VICHAPO KWA WAWILI

0
MASHINDANO ya Kanda ya Kaskazini kwa Timu za Wanawake (UNAF) yanaendelea na kesho timu ya Taifa ya Twiga Stars itashuka uwanjani kumenyana na Morocco.Mchezo...

MZUNGU WA SIMBA AJIVUNIA HIKI HAPA KUTOKA KWA WACHEZAJI WAKE

0
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa kurejea kwa nahodha wa Simba John Bocco kunawavuruga wapinzani na kumpa matokeo mazuri ndani ya uwanja.Bocco...

CONTE AKIRI MAMBO MAGUMU SERIE A, JUVENTUS YAISHUSHA NA LAZIO PIA YAWAVUTA CHINI

0
ANTONIO Conte, Kocha Mkuu wa timu ya Inter Milan inayoshiriki Seria A ya Italia amesema kuna ugumu wa kupata matokeo kwenye mechi zake kutokana...

NYOTA ANAYEMKIMBIZA KAGERE MDOGOMDOGO ATAJA KINACHOMBEBA

0
YUSUPH Mhilu, mshambuliaji namba moja ndani ya Kagera Sugar amesema kuwa siri kubwa iliyojificha kwenye mafaniko yake ni juhudi na kufuata maelekezo ya mwalimu.Mhilu...

LIPULI YAACHANA NA ISHU YA SIMBA,NGUVU ZAO ZIPO HUKU

0
NAHODHA wa timu ya Lipuli, Paul Nonga amesema kuwa morali ya wachezaji kwa sasa ni kubwa kuelekea kwenye mechi yao inayofuata dhidi ya Mbeya...

POLISI TANZANIA US KWA USO NA MTUPIAJI WAO WA ZAMANI ANAYEKIPIGA YANGA

0
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga kesho atakuwa kazini kumenyana na mabosi wake wa zamani kwenye mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara.Nchimbi...

POLISI TANZANIA WAIPIGA MKWARA HUU YANGA

0
UONGOZI wa polisi Tanzania umesema kuwa timu yao ipo vizuri zaidi ya Yanga, itapambana kupata matokeo mbele ya Yanga kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa...

WACHEZAJI WAMPA NGUVU KOCHA NAMUNGO

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa anakoshwa na uwezo wa wachezaji wake ndani ya uwanja jambo linalompa hali ya kujiamini.Thiery amekiongoza kikosi...

KAGERA SUGAR: TUNAWAHESHIMU SIMBA ILA POINTI ZAO TUNAZITAKA PIA

0
UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa kesho utapambana Uwanja wa Taifa kupata pointi tatu mbele ya Simba.Kagera Sugar iliyo chini ya Kocha Mkuu, Mecky...