HII NDIO SABABU YA NYOTA WA SIMBA KUAMUA KUTIMKA MAZIMA SAUZI

0
UHURU Seleman nyota wa zamani wa timu ya Simba ambaye ni raia wa Tanzania amesema kuwa sababu kubwa ya kujiunga na timu ya FC...

MAHAYAWANI WA AFRIKA KUSINI WANAVYOZIDIWA UFIKIRI HATA NA MPIRA UNAOCHEZWA UWANJANI

0
Na Saleh Ally UTAKUWA unajua mengi sana kuhusiana na mchezo wa soka lakini huenda kwa nguvu yake unaweza usiwe na kipimo sahihi!Nakuuliza kwanza hivi nani...

ZAMBIA SI SALAMA KWA YANGA, MECHI YA DAR VS ZESCO NDIO YA KUMALIZA KAZI

0
NA SALEH ALLYUKIAMUA kuzungumzia rekodi kati ya timu za Tanzania dhidi ya zile za Zambia zinapokutana katika michuano ya kimataifa, ukweli umenyooka sana, kwamba...

NYOTA WA SIMBA ALIYETIMKIA ASIA ATUMA UJUMBE HUU KWA MASHABIKI NA VIONGOZI

0
NYOTA wa Simba, Adam Salamba amesema kuwa ilikuwa ndoto yake ya muda mrefu kucheza nje ya nchi na imetimia baada ya kujiunga na timu...

TANESCO YAMSAIDIA KIJANA ANAYEPUMUA WA MSAADA WA MASHINE YA OXYGEN

0
KIJANA anayeishi kwa msaada wa mashine ya Oxygen ili kumuwezesha kupumua, Bw. Hamad Awadhi amelishukuru Shirika la Umeme Nchini TANESCO kwa kumpunguzia mzigo wa...

BABA DIAMOND AFUNGUKA HARMONIZE KUSEPA ZAKE WCB

0
BABA wa msanii maarufu wa Bongo Fleva nchini, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’, Mzee Abdul Juma amefunguka kuhusu uamuzi wa msanii Harmonize kuondoka kwenye Lebo...

BURUNDI YANYIMWA NAMNA YA KUPATA MATOKEO KWA MKAPA

0
Jumapili hawatoki Taifa. Inyeshe mvua au liwake jua, Burundi lazima wapigwe. Ndio msisitizo wa Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akisapotiwa na mastaa wenzie.Stars...

NIGERIA NAO WAKINUKISHA BALAA, WAWAFANYIA UMAFIA WASAUZI

0
Maduka ya wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Nigeria yalivamiwa jana ikiwa ni hatua ya kujibu, mashambulizi ya hivi karibuni katika taifa hilo la Kusini...

WACHEZAJI STARS WAFANYA MGOMO

0
Wakati wa mapumziko wachezaji wa kikosi cha Taifa Stars juzi waligoma kuingia vyumbani ili kuwavuruga kisaikolojia wenyeji katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la...

UAMUZI KESI YA KABURU, AVEVA YAIVA

0
HATIMAYE kesi inayowakabili waliokuwa viongozi wa Simba, Evans Aveva na wenzake, inatolewa uamuzi Septemba 17, kama wana kesi ya kujibu au la na upande...