FALCAO NA SELEMAN KUPATA FEDHA ZA BURE TOKA CAF

0
Mwenyekiti wa Yanga, Mshindo Msolla amesema kuwa wachezaji hao wawili Molinga na Selemani wamewaandalia mgao wa Shilingi 100,000.Mgao huo wataupata  kuptia fedha itakayoingia ndani...

YANGA YAZIMA HUJUMA NA JEURI ZA SIMBA

0
KAMPUNI ya GSM ambao ni wauzaji wa jezi za Yanga, leo (jana) wameingiza mzigo mpya wa jezi huku kukiwa na punguzo kubwa la bei...
Habari za Simba

BANDA AFUNGUKA NAMNA USALAMA WAKE ULIVYO HUKO SAUZ

0
Na George MgangaBEKI Mtanzania anayekipiga katika Klabu ya Highlands Park ya Afrika Kusini, Abdi Banda, amesema hali iliyopo nchini humo imechakufwa na matukio mengi...

STRAIKA ENGLAND AUKUBALI MZIKI STARS

0
NAHODHA wa timu ya Taifa ya Burundi, Saido Berahino, ambaye aliwahi kuzicheza West Brom na Stoke City za Ligi Kuu England, amekubali kiwango kilichoonyeshwa...

WALIOTOKA YANGA WAWA PASUA KICHWA AZAM FC

0
KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche ameweka wazi kuwa tatizo kubwa ambalo linaipasua timu hiyo ni washambuliaji wake kutotumia vyema nafasi wanazopata.Safu ya...

MKE WA BANDA ASIMULIA MUMEWE ALIVYONUSURIKA NA XENEPHOBIA SAUZ

0
Mke wa beki wa zamani wa Simba ambaye kwa sasa anakipiga Highlands Park FC ya Afrika Kusini, Abdi Banda, Zabibu Kiba ameibuka na kuweka...

MTOTO WA TAMBWE AIKATAA TIMU YA KARIAKOO

0
AMISSI Tambwe ni mmoja kati ya washambuliaji wenye rekodi na historia kubwa katika Ligi Kuu Bara kwa kipindi cha miaka sita aliyocheza ligi hiyo...

YANGA HII LAZIMA UKAE, YAIONESHA JEURI SIMBA, MABILIONI HAYA YAINGIZWA

0
Uongozi mpya wa Klabu ya Yanga ulioingia madarakani chini ya mwenyekiti wake, Mshindo Msolla na makamu wake, Frederick Mwakaleba umefanikiwa kukusanya shilingi 3,935,000,000 ndani...

NI SALAAAM, FALCAO AWEKA REKODI MWANZA YANGA IKIENDA SARE YA 1-1 NA PAMBA

0
Mechi ya kirafiki baina ya Yanga na Pamba SC imemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya mabao 1-1.Mechi hiyo kwa Yanga imekuwa ni sehemu...

GOFU LUGALO WAPANIA UBINGWA NMB CDF CUP 2019

0
MICHUANO ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (NMB CDF Cup 2019), imeanza rasmi jana na inatarajiwa kufungwa leo kwenye Viwanja vya...