KAGERA SUGAR YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA NIZAR KHALFAN KWA PIGO ALILOPATA

0
Uongozi wa Kagera Sugar FC umetuma salamu za pole kwa mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania, Nizar Khalfan kutokana na kufiwa...

CHIRWA ABEBESHWA BONGE MOJA YA ZIGO HUKO AZAM FC

0
UONGOZI wa Azam FC, umempa zigo kubwa mshambuliaji wao namba moja , Obrey Chirwa kuiongoza timu yake kufikia malengo ya kutwaa ubingwa wa Ligi...

KUMEKUCHA MSIMBAZI, MATOLA SASA KUTIMKA NDANI YA TIMU

0
IMEELEZWA kuwa Kocha Msaidizi wa Simba, Seleman Matola yupo kwenye harakati za kuondoka ndani ya Simba ili aongeze ujuzi wake kwenye taaluma ya ukocha.Habari...

SIMBA KAZINI TENA KESHO MBELE YA MTIBWA SUGAR, MOROGORO

0
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara kesho watakuwa na kazi ya kumenyana na Mtibwa Sugar kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa...

SINGIDA UNITED HUKO MAMBO BADO

0
SINGIDA United imeanza kwa kuangukia pua tena mzunguko wa pili kwa kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 na Mwadui FC ya Shinyanga.Sare hiyo inaifanya...

HUYU HAPA KOCHA BORA WA MWEZI JANUARI, MZUNGU WA SIMBA NA MALALE HAMSINI WAPIGWA...

0
VerifiedKOCHA wa timu ya Azam FC ya Dar es Salaam, Aristica Cioaba amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom...

LIPANGILE WA KMC AWAPIGA BAO WADADA WA AZAM NA DILUNGA WA SIMBA

0
MSHAMBULIAJI wa timu ya KMC ya Dar es Salaam, Sadallah Lipangile amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania...

PAMBA YAPOTEZA MBELE YA GEITA GOLD

0
NYOTA wa Geita Gold inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza, George Mpole jana aliisepa na mpira wake baada ya kuitungua mabao matatu timu ya Pamba...

MTIBWA SUGAR: TUNAICHAPA SIMBA NA POINTI TATU TUNASEPA NAZO

0
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa kichapo kwa Simba ni halali yao kwani wanawatambua vema hivyo hawatawasumbua kwenye mchezo wao wa...

MZUNGU AMBADILISHIA MAJUKUMU NCHIMBI KISA MOLINGA

0
LUC Eymael amesema kuwa kazi kubwa aliyompa mshambuliaji wake Ditram Nchimbi ni kutengeneza nafasi za mabao kwa mshambuliaji mwenzake David Molinga akishindwa basi inabidi...