WALIOOA FC VS WASIOOA KESHO HAPATOSHI UWANJA WA CHUO CHA USTAWI DAR

0
Hatimaye ule mpambano wa kukata na shoka kutoka katika Kampuni ya Global Group, kati ya timu ya Waliooa FC dhidi ya vijana Wasiooa unapigwa...

SIRI YA NEYMAR YAFICHUKA REAL

0
Sababu kuu tatu ndizo zinaelezwa kuwa zilisababisha Real Madrid kuachana na mpango wa kumsajili staa wa Paris St. Germain, Neymar. Pamoja na baba wa...

JUMA ABDUL APATWA NA PIGO KUBWA, AFIWA NA MAMA YAKE

0
Beki wa kulia wa Klabu ya Yanga, Juma Abdul Jaffar Mnyamani amepata pigo kubwa baada ya kuondokewa na mama yake mzazi ambaye amefariki dunia...

AZAM FC YAANZA KUWALIA MINGO WAZIMBABWE, KUKIWASHA LEO UWANJA WA CHAMAZI

0
KIKOSI cha Azam FC leo kitashuka uwanjani majira ya saa 1:00 Usiku kumenyana na Friend Rangers FC.Mchezo huu wa kirafiki ni maalumu kwa ajili...

KARIA AZIDI KUWAUMIZA ZAIDI YANGA NA ZAHERA, AJA NA KAULI YA KUTISHA

0
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa halitakuwa na huruma kwa klabu yoyote itakayotaka kubadili rangi ya nembo ya wadhamini wao kwa msimu huu...

ZAHERA ATAJA SABABU YA KUIPIGA CHINI MBAO MECHI YA KIRAFIKI

0
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amegoma kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbao wakati timu hiyo itakapokuwa kambini jijini Mwanza.Yanga ambayo itaweka kambi...

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS

0
MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO ALHAMIS

ZAHERA AITAFUTA REKODI YA KOCHA SIMBA CAF

0
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ametamba kwamba atafanya njia yoyote kuhakikisha kwamba anafikia rekodi ya kocha wa Simba, Patrick Aussems kwa kufika hatua...

MBELGIJI SIMBA ATIMKA DAR

0
Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Patrick Aussems juzi asubuhi alitua katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, akiwa na mkewe kwa ajili ya kula bata...

KELVIN YONDANI ATAJWA ZESCO UNITED

0
Beki kisiki wa Yanga, Kelvin Yondani, anaonekana kuwa tishio mbele ya kikosi cha Zesco United baada ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Mzambia, George...