AKILI ZA KIPUUZI ZA UWOYA YES, LAKINI CHANGANYA NA ZAKO BASI….

0
*Walioingia mtegoni, wanapaswa kujitafakariNa Saleh AllyUTAMBULISHO mzuri kwa sasa ni kuwa Irene Uwoya ni mfanyabiashara anayechipukia. Mwanadada ambaye angepaswa kupongezwa kutokana na wazo lake...

RATIBA YA ROBO FAINALI NDONDO CUP

0
RATIBA ya robo fainali ya michuano ya Ndondo Cup ipo namna hii:-Friends Rangers v Uv Temeke uwanja wa Kinesi, Julai 18.Burudani FC v Ball...

AZAM FC WACHEKELEA KUIPOTEZEA RAMANI TP MAZEMBE

0
OFISA Habari wa Azam FC, Jaffary Maganga amesema kuwa wachezaji na uongozi wa timu kwa sasa wanafuraha baada ya kuwang'oa vigogo TP Mazembe.Jana Azam...

IRENE UWOYA, STEVE NYERERE WAITWA BASATA

0
BARAZA la Sanaa la Taifa (Basata) limewataka wasanii wa filamu Bongo, Irene Uwoya na Steve Nyerere,  kufika katika ofisi za baraza hilo  kesho, Julai...

SABA WA SIMBA KIKOSI CHA KWANZA KUTOLEWA KWA MKOPO KWENDA TIMU HIZI

0
UONGOZI wa Simba umepanga kuwatoa kwa mkopo wachezaji wake Saba ambao wamekosa namba ndani ya kikosi cha kwanza.Ofisa Mtendaji wa Simba, Cresnticentius Magori amesema...

BEKI MUSTAFI SHKODRAN AGOMA KUSEPA ARSENAL

0
SHKODRAN Mustafi, beki wa Arsenal amesema kuwa hana mpango wa kusepa ndani ya kikosi hicho msimu ujao.Mustafi amesema kuwa atabaki ndani ya kikosi hicho...

SIMBA KUCHEZA MECHI TATU ZA KIRAFIKI AFRIKA KUSINI

0
SIMBA wameamua kujiweka sawa msimu huu ambapo baada ya kukwea pipa na kuweka kambi Afrika Kusini tayari wametangaza kucheza mechi tatu za kirafiki ili...

AZAM FC WAFICHUA SIRI KUWANG’OA TP MAZEMBE KAGAME

0
ETTIENE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa Azam FC, amesema kuwa siri kubwa ya timu hiyo kutinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya Kagame ni...

WINGA MPYA YANGA AAHIDI KUIPOKA SIMBA KOMBE LA LIGI KUU

0
Winga mpya matata wa Yanga Mnyarwanda, Patrick ‘Papy’ Sibomana amefurahia mapokezi aliyoyapata Jangwani na kuahidi kuifanyia makubwa timu hiyo ikiwemo kuipa mataji ya ubingwa.Kauli...