UZITO WA UNYOYA NASSIBU AWA MBABE HUKU LILE LA UZITO WA BANTAM, TONNY AIBUKA...

0
Mapambano ya Ubingwa wa Afrika Mashariki na kati, yamefanyika kwa kishindo usiku wa kuamkia leo Agosti 24, 2019 Club 361 Mwenge jijini Dar es...

UD SONGO WALIISHINDA SIMBA KWA KUTUMIA SILAHA ZA SIMBA, WAKATI WA KUNYANYUKA NA KUSONGA...

0
SIMBA Jana imetolewa rasmi kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwenye uwanja wao wa nyumbani ambao msimu uliopita walifanya maajabu makubwa yaliyoushangaza ulimwengu.UD...

NGUVU YA KIKOSI CHA KMC ZINAHAMIA HUKU KWA SASA, LEO KUANZA MITIZI YA MAANA

0
UONGOZI wa KMC leo unaanza rasmi mazoezi ya kuiwinda Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Agosti 27 uwanja wa Uhuru.Akizungumza na...

YANGA: BADO TUPO SANA KIMATAIFA, ZESCO WETU KABISA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa unajipanga kwa ajili ya mchezo wao wa hatua ya mtoano dhidi ya Zesco utakaopigwa mwezi ujao kati...

MOHAMED SALAH NI WA MOTO EPL, ARSENAL HAWANA BAHATI NAYE KABISA

0
MOHAMED Salah, mshambuliaji wa Liverpool anazidi kuwa mtamu ndani ya kikosi hicho huku akiendelee kuifukuzia rekodi ya kutetea kiatu chake cha ufungaji bora msimu...

PAUL POGBA AFUNGUKIA ISHU YA UBAGUZI WA RANGI

0
PAUL Pogba, Kiungo mshambuliaji wa Manchester United amefunguka kuwa ishu yake ya kubaguliwa kisa rangi yake kumempa nguvu ya kuwa imara.Pogba alishambuliwa jumlajumla kwenye...

AZAM SASA NGOMA INOGILE, HASIRA ZAO NI KIMATAIFA KWA WAZIMBABWE

0
BAADA ya kikosi cha Azam Complex kuitoa Fasil Kenema kwa jumla ya mabao 3-2 kwenye mchezo wa marudiano uliochezwa uwanja wa Chamazi sasa kitamenyana...

HALI MBAYA ILIYOMKUTA MEDDIE KAGERE BAADA YA MECHI NA UD SONGO – VIDEO

0
Kilichomtokea straika wa Simba, Meddie Kagere baada ya mechi na UD Songo.