WAWILI YANGA WAMVUTA ZAHERA

0
Uwepo wa mastaa wapya wa Yanga kambini mkoani Morogoro wakiwemo Issa Bigirimana na Maybin Kalengo, umefanya kocha mkuu wa timu hiyo, Mwinyi Zahera fasta...

BEKI SIMBA ARUHUSU USAJILI WA KIRAKA YANGA

0
USAJILI wa beki wa pembeni, Gadiel Michael Simba umemnusuru kiraka rasta wa Yanga, Jaffari Mohammed kuendelea kubakia kuichezea timu hiyo.Kiungo huyo, awali hakuwepo kwenye...

HATMA YA AZAM FC KUTINGA ROBO FAINALI KAGAME MIKONONI MWA MUKURA FC

0
ETTIENE Ndayiragije, Kocha wa Azam FC amesema kuwa suluhu waliyoipata leo kweye michuano ya Kagame dhidi ya Bandari inawaweka kwenye wakati wa kusubiri hatma...

HOLDING WA ARSENAL MAJANGA, KUANZA AKIWA NJE MSIMU UJAO

0
ROB Holding beki wa Arsenal anatarajiwa kukosa mechi za mwanzoni mwa msimu ujao kutokana na kuendelea kuuguza jeraha lake la goti alilolipata Desemba mwaka...

SIMBA YAKUBALI KUPIGWA FAINI YA USAJILI

0
Wakati usajili wa kimataifa ukifungwa rasmi Julai 10, mwaka huu, Klabu ya Simba imesema haina hofu, ipo tayari kutoa faini ili kuweza kukamilisha usajili...

YANGA, SIMBA KUKAMULIWA ‘MIDOLA’ NA TFF

0
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limezitaka timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kukamilisha usajili Kwa njia ya mtandao (Tanfootball Connect) kabla ya usajili kufungwa...

SIMBA YAMPELEKA MCHEZAJI YANGA HOSPITALI

0
Uongozi wa Simba umesema kuwa, wachezaji wa timu hiyo walianza kutua nchini kuanzia juzi Jumatatu na wanatarajiwa kuingia kambini Julai 15 lakini wataanza kwanza...

SIMBA YAGOMBANIWA NA WASAUZI

0
IMEBAINIKA kuwa wakati Simba ikitarajiwa kuondoka kwenda Afrika Kusini kuweka kambi Jumatatu ijayo, klabu kibao za Sauz zimeomba kucheza mechi za kirafiki na Simba...

KIPA MPYA YANGA AMTAJA YONDANI

0
Kipa mpya wa Yanga, Metacha Mnata, amefunguka kuwa anafurahi kupata nafasi ya kucheza timu moja na beki Kelvin Yondani kwa sababu ni mchezaji mkubwa...

AJIBU, GADIEL WAPELEKWA MAMELODI SUNDOWNS

0
Wachezaji wapya wa Simba, Ibrahim Ajibu na Gadiel Michael watakutana na zali la kupelekwa katika Klabu ya Mamelodi Sundowns nchini Afrika Kusini ambako timu...