KUPOTEZA MVUTO KWA KAGAME KUNA JAMBO LA KUJIFUNZA, BADO WACHEZAJI WANA DENI KWA TAIFA

0
TUMEONA timu mbili kubwa hapa bongo ambazo ni Simba na Yanga, zimejitoa mashindano ya Kagame Cup ambayo mtetezi wake ni Azam FC.Hapa kuna kitu...

BEKI KISIKI YANGA AOMBA KWENDA ULAYA

0
BEKI wa timu ya Yanga, Abdallah Shaibu 'Ninja' amesema kuwa kwa sasa mipango yake ni kupata nafasi ya kucheza nje ya nchi ili kujaribu...

KAMA WAMEKWATA KWA MAAMUZI YA KOCHA INAPENDEZA, TUINGE MKONO TIMU YETU YA TAIFA

0
MIAKA 39 si jambo jepesi kuamini kwamba ilikatika bila Taifa letu kuwa na mwakilishi kwenye michuano ya Afcon na hatimaye ndoto ya siku nyingi ...

MIMBA YA MPENZI WA DIAMOND YAWA GUMZO

0
ANAFICHA mimba! Ndivyo walivyosikika mashabiki waliomuona mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha Donna Oketch kutokana na kuwa na tumbo...

HII HAPA LIST YA WACHEZAJI WA ZAMANI WA YANGA WALIOTHIBITISHA KUSHIRIKI KUBWA KULIKO

0
1. Mwanamtwa Kihwelo 2. Mohamedi Kampira 3. Makumbi Juma4. Mohamedi Hussein5. Saidi Maulidi6. Kenny Mkapa7. Petar Tino8. Selemani Kabulu9. Ally Yusuph Tigana10. Sunday Manara11. Omari Husseni...

NDAYIRAGIJE AVUNA MIL 180 AZAM

0
FUNDI ni fundi tu. Ettiene Ndayiragije amesaini Azam Fc na jana ametambulishwa rasmi akilamba kiasi cha Sh 180 milioni.Ndayiragije alionyesha uwezo wake na Mbao...

Kandanda.co.tz ipo pamoja na Taifa Stars

0
Kuanzia leo hadi michuano itakapomalizika ya kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON 2019, Inayofanyika nchini Misri, Logo ya Kandanda katika tovuti na...

NI SIMANZI!! TARMBA AFIWA NA MTOTO WAKE MWINGINE USIKU HUU

0
Ndugu zangu, mtoto wangu mwingine Aliasgher Tarimba Abbas, amefariki muda huu.Maziko kesho saa 12.30 katika Msikiti wa Shia Ithnaasheri mjiniKaribuni tumsindikize mtoto wetu.Na Tarimba...

YANGA YANASA KIFAA KIPYA KUTOKA ZANZIBAR, AZAM WAINGILIA

0
Imeelezwa kuwa klabu za Azam na Yanga  zimeanza kuwania saini ya mchezaji bora wa ligi kuu Zanzibar msimu 2018/19, Abdulswamad Kassim kutoka klabu ya...