MTIBWA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA AZAM FC
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata pointi tatu mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa UwanjaUhuru.Ofisa Habari...
KUMBE, KOCHA WA SAMATTA ALIJUA UWEZO WAKE UNGEFIKA UKINGONI DAKIKA HIZI, CHEKI ALICHOMWAMBIA
KOCHA Mkuu wa Aston Villa, Dean Smith amesema kuwa alijua kwamba lazima nguvu ya Mbwana Samatta ingefika ukingoni dakika ya 60-65.Samatta ameanza maisha mapya...
SIMBA AAMUA KUFANYA KUFURU YA PESA, HAKAMATIKI KABISA
KAMA ulikuwa unawaza kuna mtu kwenye tasnia ya Bongo Fleva wa kushindana naye mpaka sasa, unajiongopea! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz...
YANGA KUIPELEKA BODI YA LIGI FIFA
Uongozi wa Yanga umesema hawakubaliani na adhabu walizopewa na Bodi ya Ligi kwa wachezaji wao pamoja na klabu hiyo kwa ujumla tayari wameandika barua...
KOBE APEWA TUZO YA HESHIMA
Wakati dunia ikiwa bado katika simanzi nzito ya kuondokewa na nguli kwenye mchezo wa Basketball Kobe Bryant, waandaaji wa Tuzo za Oscar wametoa taarifa...
TAARIFA NYINGINE YA SERIKALI JUU YA MVUA KUBWA
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imetoa tahadhari kwa wananchi wanaoishi katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, Kaskazini na Kanda ya Kati kukumbwa...
MAMBO YAZIDI KUWA MOTO, KABWILI AHITAJIKA KAMATI MAALUM
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeiagiza Kamati ya Maadili kufuatilia ukweli kuhusu tuhuma za upangaji wa matokeo zilizotolewa na kipa wa Yanga, Ramadhani Kabwili.Akizungumza...
SUALA LA IST YA KABWILI, KOCHA YANGA ATAJWA
Klabu ya Yanga imesema itamwita mchezaji wake, Ramadhani Kabwili kueleza kwa kina juu ya tuhuma za rushwa alizozitoa dhidi ya Simba hivi karibuni.Hayo yamesema...
SIMBA YAIGEUKA BODI YA LIGI
MBELGIJI Sven Vanderboeck ambaye ni kocha mkuu wa Simba, amelalamika kuwa wanatakiwa kujiandaa kwelikweli kutokana na ratiba yao kuwabana kwa sasa ambapo katika siku...
KAGERE AMALIZA SHUGHULI TAIFA, AACHA KILIO KWA NAMUNGO KWA BAO LAKE LA USIKU
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba leo amewanyanyua mashabiki wa timu yake kwa kufunga bao la ushindi lililoipa timu yake pointi tatu mbele ya Namungo...












