IFIKE WAKATI MAKOCHA ISHU YA LAWAMA ZIFIKE MWISHO
MAKOCHA wengi wa Bongo wanapenda sana kujisifia kwa kazi nzuri lakini wanakuwa wagumu kukubali pale wanapokosea. Hayo yapo kwa kila binadamu, wengi wetu hatutaki kukubali...
SAMATTA KUTUA LIGI KUU ENGLAND AMEACHA DENI KUBWA
NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ni mchezaji halali wa Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England na tayari ameanza kazi kwenye kikosi hicho. Aston Villa...
MBELGIJI WA SIMBA AWAKA KINOMA, AWAPA MAKAVU WACHEZAJI WAKE
SVEN Vanderboeck raia wa Ubelgiji, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wanashindwa kutumia nafasi wakiwa ndani ya 18 jambo ambalo linawapa ugumu...
AZAM FC YAIPANIA MTIBWA SUGAR LEO, YAWAITA MASHABIKI
JAFARY Manganga, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi Uwanja wa Uhuru kuipa sapoti timu hiyo itakapomenyana na Mtibwa Sugar.Azam...
MTIBWA SUGAR WAIPA TANO SAHARE STARS
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa timu ya Sahare Stars ipo vizuri na ikipambana itafikia malengo iliyojiwekea.Sahare iliwanyoosha Mtibwa Sugar kwenye...
MORRISON KIPENZI CHA MASHABIKI WA YANGA ATOA AHADI HII TAMU
BERNARD Morrison, nyota mpya wa Yanga amesema kuwa ataendelea kutoa burudani kwa mashabiki bila kuchoka kwani ni kitu anachokifikiria muda wote.Morrison amecheza mechi mbili...
YANGA YAKIONA CHA MOTO KAMATI SAA 72
BALAA walilokutana nalo Yanga ni kupigwa faini ya shilingi milioni 2.7 kutoka kwa Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi (Kamati ya saa 72)...
KOCHA WA NAMUNGO AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE LICHA YA KICHAPO, ISHU YA BAO LA...
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa timu ya Namungo amesema kuwa wachezaji wake wamejitahidi kucheza mbele ya Simba licha ya kufungwa mabao 3-2.Namungo iliyo nafasi...
AFC WAHAMISHIA HASIRA ZAO KWA PAMBA
UONGOZI wa timu ya Arusha umesema kuwa makosa waliyofanya kwenye mchezo dhidi ya Gwambina FC hayajatajirudia tena kwenye mechi yao inayofuata dhidi ya Pamba...
MICAH: GUARDIOLA ALIBUGI HAPA MBELE YA MANCHESTER UNITED
MICAH Richard, mchezaji wa zamani wa Manchester City amesema kuwa mfumo alioutumia Kocha Mkuu wa City, Pep Guardiola ulimponza mbele ya Manchester United na...












