Trending Stories
View All
GAMONDI ABADILI MFUMO YANGA SC
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
CAF KUAMUA HATMA YA USAJILI SIMBA NA YANGA….MASTAA HAWA HATARINI KUFYEKWA….
USAJILI wa dirisha dogo ni kama umezitega Simba na Yanga, kwani unazilazimisha kushinda michezo yao inayofuata ya makundi ya Ligi…
“AHMED ALLY ANACHONGANISHA MASHABIKI NA UONGOZI….NI MUONGO SANA…”
Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, anayefahamika kwa jina la Mchome amesema kuwa Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Timu…
GONJWA LA SIMBA YA ROBERTINHO LAHAMIA KWA YANGA YA GAMONDI…..ISHU IKO HIVI…
Yanga ya sasa inaubonda kweli kweli, unamiliki mchezo, inafunga mabao, lakini sharti ni kupitia first eleven yao ambayo imekuwa ni…
KUELEKEA MECHI NA WAGHANA….MASTAA YANGA WAAPA ‘KUFA NA MTU’ UWANJANI….
Kikosi cha Young Africans kimeonesha kuwa na malengo ya kupambana ili kuhakikisha kinashinda mchezo dhidi ya Medeama ya nchini ya…
MSHIKO WA UHAKIKA UKO NDANI YA ODDS HIZI KATIKA MCHEZO WA LEO MAN UTD vs CHELSEA…
Wikiendi yako inawezakana haikwenda vizuri ni hivi usiwe na wasiwasi Meridianbet wanakupa nafasi ya kupiga mkwanja katikati ya wiki ambapo…
HIZI HAPA MILI 2.5 ZA BUREE KUTOKA MERIDIANBET ZINAKUNGOJA….KUZIPATA NI RAHISI TU…
Unaijua 200% inakuaje? Meridianbet msimu huu wa Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya unapojisajili, ukaongeza salio kwenye akaunti yako kisha…
KUHUSU MAMBO YANAYOENDELA TFF…MZEE RAGE NAYE AVUNJA UKIMYA KWA WALLACE KARIA ….
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya Simba SC Ismail Rage amempongeza Rais wa Shirikisho la soka Tanzania ‘TFF’, Wallace Karia…
NNJE YA DIMBA:..SIMBA NA YANGA WASIPOTUMIA NJIA HIZI KUTOBOA CAF,.. WATAISHIA KUFA KIUME…
Hali imechafuka. Dakika 180 za Simba na Yanga kwenye mechi za hatua ya makundi, zimetoa picha tofauti na iliyokuwa ikidhaniwa…
CHAMA ‘AKOPOLEWA MAWE’ NA SHABIKI WA SIMBA…ISHU NZIMA IKO HIVI…
Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, anayefahamika kwa jina la Mchome amesema kuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama…
UBOSI WA HERSI CAF ULIVYOIPELEKA TZ KARIBU NA MEZA YA SOKA DUNIANI…ATAFIKA HADI FIFA…
Rais wa Yanga, Eng. Hersi Said amechaguliwa kuwa Rais wa Shirikisho la Vilabu Africa (ACA) wakati wa uzinduzi wa shirikisho…
GAMONDI AWAPANIA WAGHANA….MASTAA WOTE YANGA KUPIGISWA TIZI LA KIJESHI….
KATIKA kuhakikisha wanafanikiwa kuvuna alama tatu muhimi ugenini, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amewaongezea dozi ya mazoezi wachezaji wake…
GAMONDI AWAANDAA MASTAA HAWA KUELEKEA MCHEZO WA CAF
Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Gamondi ameanza kumuandaa mbadala wa beki wa kushoto wa timu hiyo, Joyce Lomalisa ambaye…
HUKO LIGI YA MABINGWA NI HATARI NA NUSU….. YANGA NDANI YA MITIHANI MINNE
Wakati kikosi cha Yanga kikiwasili jana Ghana kwa ajili ya kuikabili Medeama, keshokutwa Ijumaa, mambo manne yanailazimisha kuibuka na ushindi…
SIO POA SIMBA NA MBINU CHAFU ZA WYDAD…..UONGOZI WATIA NENO
Uongozi wa Simba, umesema kuwa, kikosi chao kitaingia uwanjani kucheza dhidi ya Wydad Casablanca, kwa tahadhari kubwa ili wafanikishe malengo…
UONGOZI WA YANGA WAWAFARIJI WAATHIRIKA WA MAFURIKO HANANG……RAIS WA YANGA AFANYA HIVI
Rais wa Club ya Yanga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Vilabu vya soka Barani Afrika (ACA) Injinia Hersi Said jana…