Trending Stories
View All
ALIYEKUWA KOCHA WA YANGA, NABI ATUA FAR RABAT YA MOROCCO
Aliyekuwa kocha wa Yanga Nasreddine Nabi amesaini mkataba wa miaka miwili kuwafundisha Mabingwa wa Ligi Kuu ya Morocco FAR Rabat.…
ISHU YA KOCHA WA SIMBA KUONDOKA KAMBINI IKO HIVI…. ROBERTINHO AFUNGUKA KILA KITU
Baada ya kuripoti juu ya kutoweka kambini kwa Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, kocha huyo amevunja ukimya na…
SASA NI KIPA MCAMEROON , MASTAA WANNE WAONGEZEKA KAMBINI UTURUKI, CHAMA, ROBERTINHO HAKUNA MATATA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
SIMBA ILIVYOMNASA MIQUISSONE KIMAFIA, SINEMA ILICHEZWA KWA SIRI, ASUBURIWA KWA HAMU UTURUKI
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
WAKATI CHAMA AKIITINGISHA KIBERITI SIMBA…MO DEWJI ALIPUA JAMBO HUKO….
Baada ya majadiliano na uongozi kumalizika vizuri, Kiungo Mshambuliaji Clatous Chama ataondoka nchini muda wowote kutoka sasa kuelekea Uturuki kujiunga…
ENDELEA KUVUNA MKWANJA KUPITIA MERIDIANBET….
Baada ya kumfahamu bingwa wa michezo ya Roulette moja kati ya mchezo pendwa kutoka Meridianbet kasino ya mtandaoni, Dkt Jarecki,…
WAKATI MASHABIKI WAKIMUWAZA MIQUISSONE …AHMED ALLY AANIKA ‘CODE’ MUHIMU YA KUZINGATIA…
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally alisema atakuwa sehemu ya kuongoza msafara wa uzinduzi wa jezi…
HUKU ISHU YA CHAMA IKIZIMWA KIMYA KIMYA…MBRAZILI ASHINDWA KUJIZUIA KUHUSU MASTAA WAPYA…
KOCHA mkuu wa Simba, Mbrazil, Robert Oliveira ‘Robertinho’ ameuambia uongozi wa timu huyo kuhakikisha anawapata wachezaji wote wapya wenye kuivusha…
SIMBA, YANGA KABLA YA LIGI KUANZA KIMESHAUMANA MAPEMAAA
LIGI imeanza mapema. Ndio, huko mtaani na kwenye mitandao ya kijamii ile ligi ya mashabiki na wapenzi wa klabu za…
HIYO YANGA U17 SIO POA SIMBA KIMYAA
Mabao mawili ya Mosses Samweli na Mohamed Salum dhidi ya JKU Academy juzi katika Uwanja wa Azam Complex, yamezidi kuifanya…
HII HAPA SLOT YA MAPESA ILIYOFANYIWA UTAFITI NA WATAALAMU WA KUBETI…
Dk. Jarecki alianza kufanya utafiti kuhusu namna ambavyo roulettes fulani zinapendelea namba fulani. Mkewe na watu wengine kadhaa mara kwa…
KOCHA WA YANGA AIPONGEZA SIMBA KWA USAJILI HUU
KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita, Roul Shungu, amefunguka kuwa, kitendo cha Simba kufanikiwa kumpata aliyekuwa kiungo wa…
BAADA YA YANGA KUWATEMA, SINGIDA FOUNTAIN GATE WAFANYA KWELI
UONGOZI wa Singida Fountain Gate umesema kuwa wanatamani kuwa na kiungo Mkongomani Yannick Bangala na Mghana Bernard Morrison kwa ajili…
HUO MSHAHARA WA MIQUSSONE SIO POA, UNAAMBIWA AMETUA NCHINI KIMYAKIMYA
INAELEZWA kiungo mshambuliaji wa Al Ahly ya Misri, Luis Miquissone raia wa Msumbuji ameletwa nchini kimyakimya na mabosi wa Simba…
LUIS, CHAMA WAZUA BALAA KWA MASHABIKI WA MSIMBAZI NA JAGWANI
WAKATI dirisha la usajili ukizidi kushika kasi kwa klabu mbalimbali kufukuzia na kuwasainisha majembe mapya, taarifa za viungo washambuliaji Clatous…
ROBERTINHO AKIACHA KIKOSI CHA SIMBA KAMBINI ATIMKIA BRAZIL
KAMBI ya Simba iliyopo hoteli ya Latapya, jijini Ankara Uturuki inazidi kunoga kwa wachezaji kuanza kuchangamshwa kwa mazoezi ya aina…