Tag: soka la bongo
HAWA HAPA WAPINZANI WA SIMBA,YANGA, MBIVU NA MBICHI KUJULIKANA JULAI 25
Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limetangaza kufanyika kwa droo ya hatua ya awali kwa Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho Afrika, Julai...
YANGA KILA KITU NI FRESH, BADO WENYE NCHI
Dodoma. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshiriki mbio za NBC Marathoni huku akisema kilele cha wiki ya Wananchi kimepita inayosubiriwa ni siku ya wenye Nchi.
Jumamosi...
KIKOSI CHA SIMBA KINAZIDI KUIMARIKA, MWINGINE HUYU HAPA KATUA MSIMBAZI
KLABU ya Simba imemtambulisha mlinda mlango Jefferson Luis Szerban de Oliveira Junior kutoka Resende ya kwao, Brazil kuwa mchezaji wake mpya kuelekea msimu ujao.
Jefferson...
MASHABIKI WA SIMBA MZUKA UMEPANDA, UNAJUA KWANININI? ISHU IKO HIVI
MASHABIKI wa Simba mzuka umepanda. Unajua kwa nini? Wamepata taarifa kwamba katika kambi ya timu hiyo iliyopo Uturuki, ametua kipa kutoka Brazili, Jefferson Luis...
SIMBA WATAMBA KUHUSU USAJILI WAO MPYA, CHAMA, NGOMA WAHUSISHWA
WAKATI Clatous Chama na Fabrice Ngoma wakiinogesha kambi ya mazoezi ya Simba iliyopo Uturuki baada ya mastaa hao kutimba juzi wakitokea Dar es Salaam,...
MUSONDA APELEKA SHANGWE JANGWANI, ATHIBITISHA KUWA YEYE NI MWAMBA
KILELE cha 'Wiki ya Mwananchi' kimehitimishwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kwa wenyeji Yanga kushinda bao 1-0 dhidi ya Kaizer Chiefs kutoka nchini Afrika...
MSHAHARA WA LUIS MIQUISSONE HAPO SIMBA NI KUFURU
WAKATI kundi la mwisho la wachezaji wa Simba likijianda kupaa jana kwenda kambini Ankara, Uturuki, winga anayerejeshwa Msimbazi kutoka Al Ahly ya Misri, Luis...
RUNGU LA YANGA LATUA KWA BANGALA
Rasmi Kiungo Mkabaji kutoka DR Congo, Yannick Bangala huenda asiwepo katika kikosi cha Young Africans cha msimu ujao hiyo ni mara baada ya jezi...
MRITHI WA MANULA ATUA RASMI SIMBA, AHMED ATAMBA
Wakati Simba SC ikizindua jezi jana Ijumaa (Julai 21) usiku, Mlinda Lango Simon Omossola raia wa Cameron ametua Msimbazi kwa mkataba wa miaka miwili...
ACHANA NA YANGA, SIMBA SASA WAPENYA KIMATAIFA KAMA MASKHARA
KIKOSI cha Simba kinaendelea kujifua kwa mazoezi kujiandaa na msimu mpya ikiwa jijini Ankara, Uturuki ikiwa inajiandaa kupokea mastaa wengine akiwamo Luis Miquissone na...