Tag: yangasc
MAPYA YAIBUKA YANGA…VITA VIPYA VIMEANZISHWA…ISHU NZIMA HII HAPA
Wakati mashabiki wa Yanga wakiendelea kufurahia ujio wa beki wao Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ kuna vita mpya mbili vimeanzishwa na ‘kitasa’ hicho katika vikosi viwili...
KOCHA YANGA “MNATAKA KUMUONA MORISSON?…MTAMUONA ATAKAPOFUNGA
Kocha Mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema katika mchezo dhidi ya TP Mazembe atamtumia winga wake Bernard Morisson ambae amekuwa nje ya Uwanja kwa...
MABOSI YANGA WAFANYA MATUSI…MECHI YA YANGA VS TP MAZEMBE…GSM ATANGULIA KUMALIZA...
Katika kuonyesha kuwa Yanga inahitaji ushindi katika mchezo wao wa ugenini dhidi ya TP Mazembe msafara wao umewajumuisha watu wazito watano wa juu katika...
NABI ATANGAZA HALI YA HATARI…SILAHA ZA KUTISHA ZAIDI ZANOLEWA…ISHU NZIMA IKO...
Jeshi la Kocha Mkuu wa Yanga Mtunisia, Nasreddine Nabi juzi liliingia kambini tayari kwa mchezo wa mwisho wa makundi wa Kombe la Shirkisho Afrika...
SIMBA NA YANGA ZAONGOZA…MIGOGORO YA KIMKATABA…NA WACHEZAJI/WATUMISHI WAKE
KAMA ulidhani sakata la kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' kuingia kwenye mgogoro wa kimkataba na Yanga ni jipya, sahau.
Kwenye soka la Tanzania katika miaka...
YANGA KUFANYIWA SAPRAIZI HII…HAIJAWAHI TOKEA BONGO…MABOSI WAPAGAWA
MWANZA. WAKATI Yanga ikikabiliwa na ratiba ngumu ya mechi za Ligi Kuu, Shirikisho (ASFC) na Kombe la Shirikisho Afrika, wapinzani wao Kagera Sugar watakabiliana...
KIUNGO WA YANGA ATIKISA SHIRIKISHO…ALIKAA BILA TIMU NUSU MSIMU
NI Mudathir Yahya pekee kwenye msitu wa mastaa wa kigeni kwenye mashindano ya kimataifa hatua ya makundi ambapo Simba (Ligi ya Mabingwa) na Yanga...
MTAALAMU WA YANGA SC…ATEKWA NA WALIBERIA…APATIWA MISHENI YA SIRI
UBORA iliyonayo Yanga kwa sasa unavuma sio hapa Tanzania tu, bali hadi katika mataifa mengine ya Afrika na sasa Shirikisho la Soka Liberia limekubali...
YANGA YAMFUTA KAZI KOCHA WAO MKUU…KOCHA WA MUDA AKABIDHIWA TIMU
BAADA ya Yanga Princess kuonekana kusuasua kwenye Ligi ya Wanawake (WPL) msimu huu hatimaye viongozi wamefikia makubaliano ya pande zote mbili kuvunja mkataba na...
YANGA SC YATOA WAWILI KIKOSI BORA SHIRIKISHO
Mlinzi wa kushoto wa Yanga Joyce Lomalisa ameendelea kuwa bora kutokana na kiwango bora anachoonyesha katika kikosi cha Yanga.
Kwa sasa unaweza kusema Lomalisa ndiye...