Tag: yangasc
ALI KAMWE:- LOLOTE LITAFANYIKA MWARABU AFE…TUNGULI RUKSA…DUA RUKSA…
Ali kamwe :"tunaenda kwenye matawi yetu makubwa kabisa ya Yanga pale kwa Mtogole kuna tawi kubwa, Kariakoo hapa kuna tawi kubwa.
Tutawaambia viongozi wa matawi...
SABABU ZA KAPOMBE NA ZIMBWE KUTEMWA…KAPOMBE HANA SPIDI…ZIMBWE JR HANA UMAKINI
Kapombe na Zimbwe JR watemwa, Yanga imetoa wachezaji 7 dhidi ya 3 kutoka Simba
Mtazamo: kwanini kapombe na zimbwe hawajaitwa?
1: Kapombe ni beki imara...
MAPEMAAA…YANGA SC YAWAPIGA MKWARA WAARABU….. “FULL HOUSE..,FULL SHANGWE WAJE TUMALIZANE”…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa maandalizi kuelekea mchezo wa kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya US Monastir ya Tunisia yapo sawa.
Kwenye...
MFAHAMU MKONGWE…SUNDAY RAMADHANI MANARA…KOMPYUTA
Sunday Ramadhani Manara "Kompyuta"
Ndiye mchezaji wa kwanza wa kitanzania Kucheza mpira ulaya
Alizaliwa 23--11--1952 ana miaka 70 mpaka sasa
Alizaliwa kigoma
Alisoma shule ya msingi white father...
TAKWIMU ZA MECHI…YANGA SC VS REAL BAMAKO…SIMBA SC VS VIPERS FC
Simba pasi 569 na zilizofika kwa usahihi ni 473, Vipers pasi 324 na zilizofika kwa usahihi ni 239, Yanga pasi 393 na zilizofika kwa...