RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO OKTOBA 15
LEO Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo kutakuwa na michezo miwili kwa timu nne kusaka pointi tatu viwanja viwili tofauti.Ratiba ipo namna hii Oktoba...
KINARA WA PASI ZA MWISHO BONGO LUIS AJIPA KAZI MBILI
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Luis Miquissone, raia wa Msumbiji amefunguka kwamba ataendelea na kazi ya kutengeneza mabao kwa wenzake ili kuifanya timu hiyo iendelee...
KAZE: NAKUJA YANGA KUFANYA KAZI, AFUNGUKA KILICHOMCHELEWESHA
CEDRIC Kaze,amesema kuwa leo anaweza kutua rasmi Bongo kumalizana na Yanga ili aanze kufanya kazi yake mpya kwa kuwa matatizo yake ya kifamilia ameshayaweka...
ISHU YA KUPOTEZA KWA STARS, SAMATTA AKINGIWA KIFUA
BEKI wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Klabu ya Mtibwa Sugar, Dickson Job, amesema kuwa nahodha wa Stars, Mbwana Samatta hapaswi...
NEYMAR JR AKIKAZA ATAVUNJA REKODI YA PELE
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Brazil, Neymar, amesogea hadi nafasi ya pili ya wafungaji bora wa muda wote kwa kufikisha magoli 64 akiwa nyuma ya...
MASHINE MPYA YA YANGA YAWAPOTEZA NYOTA WOTE SIMBA
SAHAU kuhusu umri wake wa miaka 33, imebainika kwamba thamani ya jembe jipya la Yanga, Saidi Ntibazonkiza raia wa Burundi ni kufuru kwani amewafunika...
AZAM FC YATUMA UJUMBE HUU KWA MWADUI FC
ABDULKARIM Amin, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC amesema kuwa wanahitaji kushinda mechi zao za mbele ikiwa ni pamoja na itakayochezwa kesho dhidi...
NYOTA SIMBA AWAPA TANO YANGA KUINASA SAINI YA KOCHA MRUNDI
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Simba, Mrundi, Laudit Mavugo amefunguka kuwa Yanga ina bahati kubwa ya kuweza kumnasa kocha Cedric Kaze kwa kuwa anaamini sasa...
KAGERA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA NAMUNGO
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa maandalizi ambayo wameyafanya yanawapa uhakika wa kusepa na pointi tatu mbele ya Namungo FC kwenye...
WAHOLANZI WAPEWA JUKUMU LA KUMLETA KOCHA MPYA WA YANGA BONGO
IMEBAINIKA kuwa wakati Mrundi Cedric Kaze, akijiandaa kuja kuchukua mikoba ya kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Waholanzi ndiyo ambao watahusika kumleta kocha huyo hapa...