SIMBA YATUMA UJUMBE HUU KWA YANGA
OFISA Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, ameushauri uongozi wa Klabu ya Yanga kujiandaa vizuri kama ni kweli wanataka kuingia katika mabadiliko ya...
YANGA KUREJEA MAZOEZINI RASMI JUNI MOSI
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeweka wazi kuwa timu yao itaanza mazoezi Juni mosi baada ya Serikali kuruhusu shughuli za Michezo kuanza.Rais wa Jamhuri...
ALEX SONG AELEZA ALIVYOFUATA MKWANJA BARCELONA ANUNUE FERRARI
Kiungo Alex Song amekiri kuwa kikubwa ambacho kilimpeleka Barcelona akitokea Arsenal ni kwa kuwa aliahidiwa mshahara mkubwa na akaona ni nafasi kubwa ya yeye...
HUYU HAPA AMESHIKILIA HATMA YA MSUDAN WA SIMBA
MABOSI wa Simba wameamua kumpa majukumu mazito kocha wao, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck ya kuamua kumbakisha kiungo Msudan, Sharaff Shiboub ambaye mkataba wake unamalizika hivi...
ARSENAL YAMPIGIA HESABU BEKI WA DORTMUND
BEKI wa Klabu ya Borussia Dortmund, Manuel Akanji inaripotiwa kuwa ameingia kwenye anga za Klabu ya Arsenal ambao wanahitaji kuipata saini yake.Licha ya Janga...
LIGI KUU KUCHEZWA KWA VITUO, ISHU YA MASHABIKI IPO NAMNA HII
Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo Dr.Harrison Mwakyembe amesema kuwa mfumo wa Uchezaji wa Ligi katika Mpira wa Miguu ni kuwa Ligi kuu...
ISHU YA LIGI KUU BARA KUREJEA, SIMBA YATOA TAMKO
UONGOZI wa Simba umesema kuwa baada ya Ligi Kuu Bara kutangazwa tarhe ya kurejea na Serikali ambayo ni Juni Mosi itaendeleza rekodi ya kubeba...
KIUNGO WA YANGA HUMWAMBII KITU KUHUSU UGALI
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji ndani ya Klabu ya Yanga amesema kuwa miongoni mwa vyakula ambavyo anapenda kula ni ugali.Morrison raia wa Ghana alitua Desemba...
CHIRWA ABEBESHWA MAJUKUMU NDANI YA AZAM FC
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa iwapo Ligi Kuu Bara itarejea hivi karibuni wachezaji wote wana kazi ikiwa ni pamoja na mshambuliaji wao namba...
DILUNGA AYAKUMBUKA MABAO YAKE
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa ameikumbuka Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na yale mabao yake aliyofunga akiwa ndani ya uwanja.Dilunga...