Uncategorized

JPM AWALILIA WAFANYAKAZI 5 WA AZAM TV WALIOFARIKI WAKIELEKEA CHATO

admin July 8, 2019 11:42 am

RAIS  John Magufuli amemtumia salamu za pole Mwenyekiti wa Makampuni ya Bakhresa, Said Salim Bakhresa kufuatia vifo vya wafanyakazi watano wa Azam Media vilivyotokea eneo la Kizonzo katikati ya Igunga,  Tabora na Sheuli , mkoani Singida baada ya gari lao aina ya Coaster kugongana uso kwa uso na lori.

Coaster hiyo ilikuwa ikielekea kwenye uzinduzi wa Hifadhi ya Burigi-Chato.

KAHATA AANZA NA MIKWARA SIMBA YANGA KUJICHIMBIA MOROGORO MAANDALIZI YA LIGI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply