Uncategorized

DIDA; NINA OFA TANO MKONONI KWA SASA

admin July 16, 2019 9:40 am
 Deogratius Munish, mlinda mlango huru baada ya kuachana na Simba amesema kuwa ana ofa tano mkononi mwake kwa sasa.

Dida hana timu na anatumia muda mwingi kujifua ili abaki kwenye ubora wake anatajwa kujiunga na timu ya Mtibwa Sugar ambayo amewahi kuitumikia.
Dida amesema kuwa kwa sasa bado mazungumzo yanaendelea na taratibu zikikamilika atataja timu atakayokwenda.

“Nina ofa tano mkononi kwa timu ambazo zinahitaji saini yangu, zipo nyingine zinatoka Afrika Kusini pia nyingine ni za hapa Bongo, wakati ukifika nitataja timu nitakayokwenda kuitumikia,” amesema.
YONDANI AAHIDI MACHUNGU KWA WAPINZANI CAF YAIRUHUSU SIMBA KUTINGA JEZI YA KIJIVU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply