Home Uncategorized HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021

HILI NDILO KUNDI LA TANZANIA KUFUZU AFCON CAMEROON 2021

 Timu ya Taifa ya Tanzania imeanzia hatua ya makundi ya kuwania kufuzu Fainali ya Mataifa ya Afrika mwaka 2021 itakayofanyika nchini Cameroon.

Tanzania imepangwa kundi J ikiwa na timu zifuatavyo Tunisia, Libya na Equatorial Guinea.

SOMA NA HII  KOSA KUBWA LA MTIBWA SUGAR KUMBE ILIKUWA KUZITUNGUA SIMBA NA YANGA