TIMU ya KMC wana kino kwenye michuano ya Kimataifa ambayo wanashiriki msimu huu kwenye kombe la Shirikisho wao wanakwenda Rwanda.
Mchezo wa kwanza utakuwa dhidi ya AS kigali ambao unatarajiwa kuchezwa kati ya Agosti 9/11 mwaka huu.
AS Kigali watakutana na fundi wa kuchezea mpira aliyekuwa akiitumikia Simba, Haruna Niyonzima.
Mchezo wa marudiano utakwa kati ya Agosti 23/25 nchini Tanzania hii ndio safari ya kimataifa ya wana KMC.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.