NICHOLAUS Musonye, Katibu Mkuu wa CECAFA amesema kuwa Simba na Yanga hata kama wangeshiriki wasingepata kitu.
Michuano ya Kagame imemalizika jana ambapo Azam FC ambao walikuwa mabingwa watetezi walivuliwa ubingwa na timu ya KCCA ya Uganda kwa kufungwa bao 1-0.
“Bado wasingeweza kufanya kitu kwa kuwa mashindano yameandaliwa na Serikali ya Rwanda na kila kitu kimelipwa hivyo hakuna tatizo lolote kwa Simba na Yanga kutoshiriki,” amesema.
Simba ilialikwa kwenye michuano ya Kagame iliomba kujitoa kutokana na kubwana na ratiba za maandalizi ya msimu ujao sawa na Yanga ambao nao pia waliomba kujitoa pia.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.